Kitu kikiwa muhimu haimaanishi nyie ndo mfanye, hivi nyie watu wa ulaya ndogo mmemkosea nn Mungu....baridi ziwaadhibu nyie bado mlime mazao yanayochukua zaidi ya miaka 10 kukomaa
huku ndo mahali pake mkuu,,hali ya hewa pia inaruhusu,,na vingi tunalima ukiachana na io miti,eg viazi,ngano, mahindi, maharage,mananasi, apple na matunda mengine meeengiiii..... na vingine viiiingi sana,,usitufanganye bwana weweeeeeeeee
huku ndo mahali pake mkuu,,hali ya hewa pia inaruhusu,,na vingi tunalima ukiachana na io miti,eg viazi,ngano, mahindi, maharage,mananasi, apple na matunda mengine meeengiiii..... na vingine viiiingi sana,,usitufanganye bwana weweeeeeeeee
hakika nakwambia,,, sema wewe umezoea zile zilizopgwa dawa za supermarket ngoja ufike msimu wake nitakutumia picha ya miti yenye apple ,,na mashamba ya ngano piq
Kumbe humu kuna watu wanatafunana kimya kimya sie wengine tunatoa mimacho tu. Mtu anapost Picha unasifia waooo kumbe unamsifia mke wa mtu na basha ake anakuchora tu. Shikamoo JF
hakika nakwambia,,, sema wewe umezoea zile zilizopgwa dawa za supermarket ngoja ufike msimu wake nitakutumia picha ya miti yenye apple ,,na mashamba ya ngano piq