Selfika na JF: Snap it. Show it

Kitu kikiwa muhimu haimaanishi nyie ndo mfanye, hivi nyie watu wa ulaya ndogo mmemkosea nn Mungu....baridi ziwaadhibu nyie bado mlime mazao yanayochukua zaidi ya miaka 10 kukomaa
huku ndo mahali pake mkuu,,hali ya hewa pia inaruhusu,,na vingi tunalima ukiachana na io miti,eg viazi,ngano, mahindi, maharage,mananasi, apple na matunda mengine meeengiiii..... na vingine viiiingi sana,,usitufanganye bwana weweeeeeeeee
 
huku ndo mahali pake mkuu,,hali ya hewa pia inaruhusu,,na vingi tunalima ukiachana na io miti,eg viazi,ngano, mahindi, maharage,mananasi, apple na matunda mengine meeengiiii..... na vingine viiiingi sana,,usitufanganye bwana weweeeeeeeee
Hapo kwenye apple na ngano hujanipiga kamba kwel?
 
Kumbe humu kuna watu wanatafunana kimya kimya sie wengine tunatoa mimacho tu. Mtu anapost Picha unasifia waooo kumbe unamsifia mke wa mtu na basha ake anakuchora tu. Shikamoo JF
 
Mchumbako si aseme ameen nimalizie jumapili yangu tuliiiivvuu na Selfika mieee 😁😁😁!
Kwani nikiwekaga wewe huwa unakua wapi? Juzi nilishusha album nzima ila mchumba akanipiga stop ety wataniibaπŸ˜‚πŸ€Έ
 
Kwani nikiwekaga wewe huwa unakua wapi? Juzi nilishusha album nzima ila mchumba akanipiga stop ety wataniibaπŸ˜‚πŸ€Έ
Itakua nilitingwa jamani hakii sijawahi bahatika kukuona!
Naomba nifanyie manuva Jioni yangu iende vizure jamani kuibwa ibwa ni tabia ya mtu tu mchumba aondoe wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…