Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani nikiwekaga wewe huwa unakua wapi? Juzi nilishusha album nzima ila mchumba akanipiga stop ety wataniiba😂🤸
Itakua nilitingwa jamani hakii sijawahi bahatika kukuona!
Naomba nifanyie manuva Jioni yangu iende vizure jamani kuibwa ibwa ni tabia ya mtu tu mchumba aondoe wasiwasi
 
Halafu babu unazingua 😍😍😍
Mbona kijana umemzidi mpk mjukuu wako yule uliyechukua mahari, yeye mzee ujue lol!

Babu ndiomana kina bibi wanapishana vikumbo, kumbeee nishajua 🤭
Picha ya Mwaka 47 hiyo ujue 😜

Na Uzee huu naanzia wapi Babu yenu mambo hayo 🤗
 
Punguzeni posa ili nimchukue sasa 😅
Leo Jioni Wazee tuna kikao ili kujadili hoja yako, kutokana na ile zawadi uliyoituma Jana huenda kikao kikaridhia kupunguza kidogo mahari ya Mjukuu wetu 🤗
 
Weka picha yako halisi, acha kudownload zile za insta 😅.

Next time ukiweka picha ya uongo, naweka yako ya ukweli ili unune 😎
Wewe hujaona picha niliyoiweka unakimbilia kusema sio halisi😎
Halafu picha yangu hauna tulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…