Kwa kweli Mkuu
Ndiyo maana Wazee tulianzisha ule msemo kwamba "Kitanda hakizai haramu" ili kuendana na uhalisia
Unaweza kusafiri kwenda operation nje ya Nchi ama Mkoa fulani miezi 3 hadi 12 na ukarudi ukamkuta Mkeo ana ujauzito ama ana mtoto kabisa, huyo mtoto utamlea na kumtunza as if hakuna kilichotokea π€
Nyie Vijana Siku hizi hadi mnaenda kupima watoto wenu DNA ndiyo mkubali kulea na kuwatunza hao watoto ππ