Ya moyoni mtu hawezi kusema labla mhusika awe malaya asiye jali lolote we unafanya masihara kipapa live kiwe Jf 😁😁
Mi na hasira zangu hizi najiuwa kwa kweli
😂Had mtu ajitundike ametanguliza mema gani huko Kwa Mungu Bora upambane na dhambi zako hapahapa 😂
alafu watu wasichojua kuwa wema akiba ukimstiri mwenzio nawe utastirika hata na watu wengine huko
Na karma haimuachi mtu ukitenda ubaya utalipwa hata km sio na uliemfanyia lazima ulipwe
Ya moyoni mtu hawezi kusema labla mhusika awe malaya asiye jali lolote we unafanya masihara kipapa live kiwe Jf 😁😁
Mi na hasira zangu hizi najiuwa kwa kweli