Selfika na JF: Snap it. Show it

nitakua kuni za kuchomea wenye dhambi, hapa nafukutwaa kuwachachua vidampa wa mwendokasi waliokimbia had I'd zao.

Jamaniiiiii coca ni mmokooo tyuuu!!! Nyie hamuogopiiiiiiiii?

 
Na tunawapatia

Ila mimi naokoka nimesikia sauti ya Bwana inaniita “Lamomy acha kila kitu selfika nifuate”
wokovuu njemaaa uduguuu!!! Wee huyu uokokeee?
Ukiona njegekaa mbio mbio selfikaaaa, huweziiiiiiiii
 
Wape wape wakimeza, wakitema hiyo shauri yao 🤣🤣🤣🤣
 
Hii ndio miezi Njombe maji tunakutana nayo kwenye chai au supu 😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…