Kusema kweli natakiwa nipunguze Wivu tu kwenye huu Umri wa Uzee maana vinginevyo Presha itaniua Babu yenu.
Mwaka 47 wakati Nchi ikiwa haina Maji ya uhakika, Bibi yenu alidamka saa 10 alfajiri kwenda kufata Maji korongoni huku Mimi nikiwa nimelala.
Kusema kweli nilijua wamemwiba live live, anakuja kurudi saa 3 asubuhi na ndoo ya Maji kichwani
Ingekuwa ndiyo Vijana wa miaka hii mbona wangekuwa wamegawana majengo ya Serikali