Selfika na JF: Snap it. Show it

Moderators

Naomba mnijie kwa nywilaaa, picha zisizo za maadili ni zipii? Na zinakiuka kanuni ya JF kwa lipii? Mnichokozee taratibuu.

Mnataka nisi selfike? Mbna wengine wana selfikaaa, em mniacheee mie,

Natuma tena zaidi ya hizi, maana uhuru ni wangu ku selfika km uzi unavyotakaa.

 
mvuvi haramu ktk ziwa Victoria, babuuu utakufa vipira vimepwaya km tyre limepata panchaaa.

Khaaaah
 
Kumekucha kumekucha 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…