Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuu huyu ni mie, kwan umenisahau mjukuu wako mara hii?
Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko πŸ€—

Ingekuwa enzi zangu, ningekupa Ulinzi hadi unapokwenda ili kuepusha nisiibiwe maana najijua Kwa Wivu πŸ˜œπŸ™Œ
 
Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko πŸ€—

Ingekuwa enzi zangu, ningekupa Ulinzi hadi unapokwenda ili kuepusha nisiibiwe maana najijua Kwa Wivu πŸ˜œπŸ™Œ
Alindwe watamuiba 🀣🀣🀣
 
[emoji23][emoji23][emoji23] tamba tamba uduguu muda wako huu.!! Hii ba tamu ndio ilikuponza ukaachika na boss [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu, afu hamna, mbna boss alikua anajua.
Yeye si ana mke na michepoz ya kuwanunulia vyombo dinner set.

Wee umesahau? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko [emoji847]

Ingekuwa enzi zangu, ningekupa Ulinzi hadi unapokwenda ili kuepusha nisiibiwe maana najijua Kwa Wivu [emoji12][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuu nimechekaaa sanaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu, afu hamna, mbna boss alikua anajua.
Yeye si ana mke na michepoz ya kuwanunulia vyombo dinner set.

Wee umesahau? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwanza tukadai vyombo vyetu uduguu.!!! Ila waja wakakuharibia husiano lako
 
Amani itokee wapiii? Mbona shetty hajatuzoea hivii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amani kwiyoo πŸ˜‚πŸ˜‚
Tuendelee udugu tupia yako sasa ile ya kinjunga, udugu yukwapi atuoneshe hipus nimemiss kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwanza tukadai vyombo vyetu uduguu.!!! Ila waja wakakuharibia husiano lako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waliona nafaidi mnoo, ila uduguu nina nyotaa, boss nilikua nae winzaa winzaa, afu hakunificha km bangi, aliniweka wazi kwa umma km almasi.

Watu weuweeeeeee!!!! Nina nyotaaaa bhanaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…