Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukiendelea hivi utafanya Wazee tupokee hata ile nusu mahari iliyoletwa na Kijana wa Mzee Mbilinyi, maana haufai hakiyanani 😜
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukoo wa Mbilinyi siwataki, labda wa kina Ngailo, Ntulo, Msigwa na Tweve kidogoooo.!! Kina Mahenge nao siwatakiiii
Halafu babu mimi nawapenda kina Mangi mwenzio 🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukoo wa Mbilinyi siwataki, labda wa kina Ngailo, Ntulo, Msigwa na Tweve kidogoooo.!! Kina Mahenge nao siwatakiiii
Halafu babu mimi nawapenda kina Mangi mwenzio 🀣🀣🀣
Hahaha........Mkinga na Mangi hapo mtoto lazima azaliwe genius πŸ€—

Wazee tunasubiri Wajukuu tu 😜
 
Hahaha........Mkinga na Mangi hapo mtoto lazima azaliwe genius πŸ€—

Wazee tunasubiri Wajukuu tu 😜
🀣🀣🀣🀣 Subiri kwanza muoaji apatikane, kuna Mangi mmoja mkusanya ushuru namsikilizia
 
nyie ba tamu ninae, na natambaa nae.

Mie na Ba tamu tukilala kitandani, PhD ya ME iko paleee.

Wee huogopiiii? Afu nisiwe jeuri? Wee kuwezaaa?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tamba tamba uduguu muda wako huu.!! Hii ba tamu ndio ilikuponza ukaachika na boss 🀣
 
babuu huyu ni mie, kwan umenisahau mjukuu wako mara hii?
Hongera Mjukuu, kusema kweli ulipendeza sana kwenye huo mtoko πŸ€—

Ingekuwa enzi zangu, ningekupa Ulinzi hadi unapokwenda ili kuepusha nisiibiwe maana najijua Kwa Wivu πŸ˜œπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…