Selfika na JF: Snap it. Show it

We we wewe

Namkumbusha ndugu yangu mzee WA hall v kuwa awe makini wakina Inni hawakawii kuingiza MTU mkenge


Kapachino
Nacheka hapa sina hamu, uliniacha ukaangukia kwa kidney 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 tulikuwa tunakuchora tu. Ukifika tu unamtag kumbeee πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Nani anataka kuumbuka? Kesho tunawakuta babe kibao. Tunawangalia tu, kuumbuka mwisho mwaka jana 🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸
🀣🀣🀣🀣 Dada hadi wewe?? Usinifanyie hivyo. Kumbe ulikuwa unatuzoom πŸ˜‚
 
Nacheka hapa sina hamu, uliniacha ukaangukia kwa kidney 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 tulikuwa tunakuchora tu. Ukifika tu unamtag kumbeee πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ila huyo mimi sikumkuta aisee.!! Nahisi ningekuwa nashinda nacheka. Naona coca anamsemaga sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naenjoy endeleeni basi. Mchokoze tena. Mapenzi yanataka hivyo kashikashi, vilio, kununiana, kublock, unblock. Najiona mimi kabisa...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwani hata namchokozaga basi!! Mwenyewe vikimpanda tyuu ananiibukia.!! Kuna comments akiziona lazima aje awashe moto 🀣🀣🀣

Ss hivi nimechoka sitaki hata kuiona id yake, mwanaume gani hana kifua. Mambo ya ndani anatoa mliyojadili wawili peke yenu.!! Km sio ugombanishi ni nini?? Na mimi nikianza kutoa yake aliyoniambia si itakuwa balaa humu!!

Ss hivi anatokea πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Kwakweli hii avatar imenshtua hata Mimi...kila SAA naiangalia isije kuwa I'd moja yenye watu wawili
Wala hiyo avatar nimejiwekea tyuu, hahusiani na yeyote kati yetu. Ni ya msanii wangu pendwa kutoka kundi la weusi.
 
Wala hiyo avatar nimejiwekea tyuu, hahusiani na yeyote kati yetu. Ni ya msanii wangu pendwa kutoka kundi la weusi.
Asante Kwa ufafanuzi.

Msalimie huyo nadhani ni mheshimiwa mkuu WA wilaya.
 
Kirahisi hivyo niingie mkenge?? Wakongwe hawaingiagi mkenge kirahisi..

MTU kama BL hawezi kunaswa au kunaswa kirahisi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nipe mbinu na mimi basi, wakongwe mna vitu vingi mnavijua humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…