Mimi sasa na shobo zangu nikaingia mjini you tube nikajibebea maelezo yangu nikatengeneza kitu. Nikaipua nikajisafisha na cleanser, nikataka baby powder, nikaipaka ikaniunguza kidogo ila sikujali, nikachukua kitambaa nikagandamiza..!! Nivute sasa kitambaa kitoke uwiiii.!! Mbona Apostle kuna muujiza huku! Nini kimetokea?? Nilikuwa natetemeka huku nalia wifi