Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ila mwanaume naye akiwa mweusi sana anakuwa km Idd Amin, usiombe akasirike na awe na sauti zito km radi.. unazimia mbona
Kwa hyo tuseme unapendajeπŸ€”
 
Dadeqiiiiiiiiiii umenkumbusha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kwa bibu sjawah ila skumoja nkasema nijaribu kwenye kwapa uuuuweeeeh mbona sikumalizia na sikurudia tenaπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mimi sasa na shobo zangu nikaingia mjini you tube nikajibebea maelezo yangu nikatengeneza kitu. Nikaipua nikajisafisha na cleanser, nikapaka baby powder, nikaipaka ikaniunguza kidogo ila sikujali, nikachukua kitambaa nikagandamiza..!! Nivute sasa kitambaa kitoke uwiiii.!! Mbona Apostle kuna muujiza huku! Nini kimetokea?? Nilikuwa natetemeka huku nalia wifi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ndo ukomeee.
 
weeeeee jaman hadi huruma pole wifi mweeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila watu mnajua ku risk ,,vip utarudia tena
 
ndo ukomeee.
Uduguu podido liliuma sina hamu ikabidi nijizime data nivute kwa nguvu πŸ‘ΉπŸ‘ΉπŸ‘Ή
Baada ya hapo nililala km masaa 5 ila lilinoga uongo dhambi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila maumivu yake unaweza kutoka nje kichele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…