Ilitakiwa uwe na p2 pembeni kabla ya game.πππ
Mwenzio shem wako alikuwa anafosi nimzalie siku hiyo nikashangaa eti yy ndo ameninunulia p2, akili ikagoma kabisa kukubali. Nikatafuta upenyo nikanywa p2 ya kwangu.!!
Sasa baada ya mwezi ananiuliza hujisikii kula embe mbichi au usingizi hivi?? Nikamjibu, nasikia hamu ya chips kuku. Acha aniporomoshee mitusi, kumbe ile siku liliniwekea piriton ππππ
Nisingetumia akili ya ziada ningempa mtoto kizembe ππππ