Majibu yako tu ππππsio tajiri, ila nimetoka kwenye familia inayoweza kumudu milo 3 kwa siku, na yenye kuakisi maisha bora.
Kuhusu mahitaji na huduma, nashukuru wazazi wangu wananipatia kila napohitaji.
Kwa Ba tamu nimefataa Uboo, ambapo siwezi kupata kwa mwingine.
Upo? πππ»ππ»ππ»
Nipo dear ex wifi najiweka tayari ni mda wa mguu kitandani mguu dilishani π€ΈπΏββοΈUpo? π
πππ halafu nilisahau kukuita jina sijui waliniwangia likanitoka.!! Tumeachiwa tena kwa mara nyingine wachachuaji wa uzi pendwa.!!Nipo dear ex wifi najiweka tayari ni mda wa mguu kitandani mguu dilishani π€ΈπΏββοΈ
kwan ni nani? Mbona amekuganda toka kitambo
Huu uzi bila amsha amsha una poa sana ππππππ halafu nilisahau kukuita jina sijui waliniwangia likanitoka.!! Tumeachiwa tena kwa mara nyingine wachachuaji wa uzi pendwa.!!
Wenye ndoa mnatunyanyasa sana tulio single π
Kumbe anakupenda πππhuyu bhana wakati naingiaa humu, si akawa ananikubali ila kunianza akashindwaa, sasa siku kapewa ubuyu huko kuwa mie ni kidampaaa,
Kaanza kuweka chuki na hasiraaa kwangu, kapiga kimyaa alishindwa, mwsho wa siku akanivaa humu humu selfika.
Aseeeh kiliwaka hiyo siku, magazeti yalishushwa humu, wakaja na wenzie kumsaidiaa niliwafurushaa wotee.
Yeye huyoo hadi alikimbia kwa muda hiyo I'D yake, hawezi nisahauu kamweeee.
Kwa kifupi ni ananikubaliii haswaa, ila anavungaaa.
Ndo maana nimemchana aache mazoea, mie mke wa mtu sahivi.
Woiiiiiih
Kaka yako yupi?? Em nikumbushe ujue humu nimetakwa na wengi ππππHuu uzi bila amsha amsha una poa sana πππ
We si umemkataa kaka yangu sasa hivi ungekuwa una uchezea mhogo π€ΈπΏββοΈπ€ΈπΏββοΈ
Mmeanza tena kwa kweli mmeshindikana πππKumbe anakupenda πππ
Sasa si akusemeshe kwa sauti ya mamlaka ya pesa km ana jeuri.!!
Ila jf ukimkataa mtu anaanza kukuponda!! Umenikumbusha babu miga alivyoanzaga kuniponda bibi π€£π€£π€£
Babu ππππKaka yako yupi?? Em nikumbushe ujue humu nimetakwa na wengi ππππ
Kwa hio utaolewa?sio tajiri, ila nimetoka kwenye familia inayoweza kumudu milo 3 kwa siku, na yenye kuakisi maisha bora.
Kuhusu mahitaji na huduma, nashukuru wazazi wangu wananipatia kila napohitaji.
Kwa Ba tamu nimefataa Uboo, ambapo siwezi kupata kwa mwingine.
π€£π€£π€£π€£ Halafu inaanzaga km utani mara pap ban zinaanza.!! Na sijawahi kukosekana sijui kwanini??Mmeanza tena kwa kweli mmeshindikana πππ
Majibu yako tu
Sio shida zako uduguu
ππππ babu alikuwa na hekaheka sio ndogo.!! Em arudi atuchekeshe nimemiss mashauzi ya kihayaBabu ππππ
Shida ya humu hata Kama hutaki ugomvi unakuta mtu anakuchokoza mpaka nawe unapaniki.π€£π€£π€£π€£ Halafu inaanzaga km utani mara pap ban zinaanza.!! Na sijawahi kukosekana sijui kwanini??
Ss hivi nimesema sitaki bifu wala ugomvi na mtu.
Nimeona kila ukitia mguu lazima naye aje πππuduguuu napendwaaa had naogopaa ujue.
Na ndio hicho ninachowaambiaga mods, yani wanakulazimisha uwachachueπππShida ya humu hata Kama hutaki ugomvi unakuta mtu anakuchokoza mpaka nawe unapaniki.