Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,692
Mwakemwake yupoπNaona unataka kunizibia riziki nisiigizeπ€
Tukuyu mnawahi sana Kulala usiku sijui kwanini, Kuna Siku nilikuwa natoka Matema beach, sasa bahati mbaya mafuta yameisha kwenye gari majira ya saa 12 Jioni, Kila kituo cha mafuta (Sheli) imefungwa
Nimekuja kupata mafuta kilomita chache kufika Uyole π
Upo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.Mwakemwake yupoπ
Tukuyu hawana shida za Rejarejaπ
Washaridhika na maisha
Kumbe wewe ndiyo uko hapo barabarani karibu na hiyo Ofisi ya nanii......?Upo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.
Naniii......... nini dogo? Acha mbwembwe, hunijui pia huna pesa za kuchoma kuku na mimi. Watishie hao maskini na wanaojitafuta akina dronedrake na mshamba_mwingine πππππKumbe wewe ndiyo uko hapo barabarani karibu na hiyo Ofisi ya nanii......?
Siku nikija Tukuyu nitasimama tuchome Kuku hapo π
Nitapita hapo MkuuUpo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.
Kweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo πMwakemwake yupoπ
Tukuyu hawana shida za Rejarejaπ
Washaridhika na maisha
Karibu na nicheki inbox.Nitapita hapo Mkuu
Nikukute na maparachichi ya kutosha
Uzuri Chakula kipo cha kutoshaπππKweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo π
Tukuyu utasema ni sehemu ya Mkoa wa Tanga maana wote ikifika Jioni tu wanafunga biashara na kwenda kulala π
Hapa natafuta doc ya NBS nijue birth rate yao ni ngapi, usikute ndiyo inaongoza Kwa Mkoa wa Mbeya ππ
Sawa MkuuKaribu na nicheki inbox.
Acha kutuonea Wazee Mkuu, si unajua sisi Wakulima pesa zetu hadi tuuze Chai Kwa Mohamed Enterprises hapa Tukuyu πNaniii......... nini dogo? Acha mbwembwe, hunijui pia huna pesa za kuchoma kuku na mimi. Watishie hao maskini na wanaojitafuta akina dronedrake na mshamba_mwingine πππππ
Kweli chakula mnacho cha kutosha, niliona kiroba cha Viazi 20k Mwaka fulani πUzuri Chakula kipo cha kutoshaπππ
Wacha tuijaze Dunia Wana Tukuyuππππ
Ipi πππ njoo Tena uselfike πKila siku nilituma kwenye ile nyingine mbona
Nimekumiss kweli, niPM basiπMy dear Ex, mimi mzima... π€£π€£π€£π€£π€£
Jack Palladino
Muone ππππ si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack PalladinoNimekumiss kweli, niPM basiπ
Hivi Valentina yupo kweli? Ndio narudisha majeshi hivyo, sijielewi nakumiss tuπMuone ππππ si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino
Kumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikumbwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote π€π€π€π€π€π€π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈHivi Valentina yupo kweli? Ndio narudisha majeshi hivyo, sijielewi nakumiss tuπ
Njoo PM chap tuyajenge my exπKumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikubwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote π€π€π€π€π€π€π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Mwenzako niliachikaMuone ππππ si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino