Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwakemwake yupoπŸ˜‚

Tukuyu hawana shida za RejarejaπŸ˜‚
Washaridhika na maisha
 
Upo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.
Kumbe wewe ndiyo uko hapo barabarani karibu na hiyo Ofisi ya nanii......?

Siku nikija Tukuyu nitasimama tuchome Kuku hapo πŸ‘Š
 
Mwakemwake yupoπŸ˜‚

Tukuyu hawana shida za RejarejaπŸ˜‚
Washaridhika na maisha
Kweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo 😜

Tukuyu utasema ni sehemu ya Mkoa wa Tanga maana wote ikifika Jioni tu wanafunga biashara na kwenda kulala πŸ™Œ

Hapa natafuta doc ya NBS nijue birth rate yao ni ngapi, usikute ndiyo inaongoza Kwa Mkoa wa Mbeya πŸ˜œπŸ™Œ
 
Uzuri Chakula kipo cha kutoshaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wacha tuijaze Dunia Wana TukuyuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naniii......... nini dogo? Acha mbwembwe, hunijui pia huna pesa za kuchoma kuku na mimi. Watishie hao maskini na wanaojitafuta akina dronedrake na mshamba_mwingine πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†
Acha kutuonea Wazee Mkuu, si unajua sisi Wakulima pesa zetu hadi tuuze Chai Kwa Mohamed Enterprises hapa Tukuyu 😜
 
Hivi Valentina yupo kweli? Ndio narudisha majeshi hivyo, sijielewi nakumiss tu😊
Kumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikumbwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote πŸ€­πŸ€­πŸ€­πŸ€­πŸ€­πŸ€­πŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈ
 
Njoo PM chap tuyajenge my exπŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…