Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayo mambo yanatugharimu kama Taifa, na Hawa Viongozi mbaya zaidi kwenye Mali na Madeni yao kupitia Viapo vyao kwenye time ya maadili ya Viongozi wa Umma huwa hawazitaji hizo Mali zao.

Ukishakuwa na Viongozi Wafanyabiashara hakuna unafuu unapatikana Kwa Wananchi, maana wao muda wote wanawaza kutuibia tu 🙌
 
Sahihi sana mkuu.
 
Sahihi sana mkuu.
Kabisa Mkuu, na bahati mbaya system inawalea ndiyo maana wameendelea kuwapachika watoto zao kwenye uongozi kuanzia Chamani hadi Serikalini...

Ukiwa sio sehemu ya circle yao, hata uwe na masters na PhD za kutosha still hutapewa nafasi ya kuleta mabadiriko Chanya 🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…