Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisa infidelity Ni hatari sana kiukweli! Japo kwa wanaume ni nature yenu tofauti nasie wanawake!


Of course njia kuu ni salama only if nae kakitulizaaa !
There is no need to entertain having multiple partners if you are real Man/Woman hasa Kwa Dunia ya sasa tuliyonayo πŸ™Œ

Too risky
 
πŸ˜€Yani licha ya sura ya baba miguu ya kushoto tupu kiuno kukaa upande
Ila kwenye lips sir god aliumba weekend akiwa amepumzika 🀣🀣🀣
Eendiwooooooo ndiwooooo! Una lips tramuuuu za kunyonywa na anaejua kula denda πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜β€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
Siunajua Mungu kakuumba mithili ya malaika. Kwako nimefika na mwingine sitamani, tupeane penzi bila choyo. Hili penzi letu linasafiri ndani ya mioyo yetu. Good morning babes.

My one&only Lovelovie
 
Siunajua Mungu kakuumba mithili ya malaika. Kwako nimefika na mwingine sitamani, tupeane penzi bila choyo. Hili penzi letu linasafiri ndani ya mioyo yetu. Good morning babes.

My one&only Lovelovie
Good afternoon mchumba.
Huku network inazingua naomba nitengenezee mnara hapa hapa om.😁😁😁😘
 
Nakupenda sana sana sana sana
❀️❀️❀️❀️πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜
 
Internet leo ipo vibaya nilidhani ni kwenye simu tu, hadi hizi home internet na penyewe hali ni mbaya, nimeingia jf sioni page ikabidi niwashe VPN.
Hapa nadhani natembea na 30Kbps kama sio 100Kbps.
 
Internet leo ipo vibaya nilidhani ni kwenye simu tu, hadi hizi home internet na penyewe hali ni mbaya, nimeingia jf sioni page ikabidi niwashe VPN.
Hapa nadhani natembea na 30Kbps kama sio 100Kbps.
Mimi pia nimewasha VPN ndiyo inasaidia kuweza kuperuzi humu, japo speed yake sio nzuri kivile πŸ™Œ
 
BBC wanasema EA yote kuanzia Rwanda, Tz, Ke, UG hakuna internet, ina maana hawa wote itakuwa wanatumia access point moja, i think so...
Kenya si nilisoma humu wameanza kutumia internet ya StarLink ya Bwana Elon Musk?

Kama EA yote imekumbwa na hili tatizo basi tujitafakali, we need to think out of the box regarding huduma za Internet
 
Kenya si nilisoma humu wameanza kutumia internet ya StarLink ya Bwana Elon Musk?

Kama EA yote imekumbwa na hili tatizo basi tujitafakali, we need to think out of the box regarding huduma za Internet
Ndio mkuu, lakini kile ki dish cha star link wanavyo baadhi.
Ni kweli inahitajika back up.
 
Ndio mkuu, lakini kile ki dish cha star link wanavyo baadhi.
Ni kweli inahitajika back up.
Me nafikiri Serikali ingeridhia huyo StarLink aanze kazi Tanzania, kutakapokuwa na scramble for the market huenda gharama za vifurushi/Data zikapungua pamoja na kuongezeka Kwa Kasi ya Internet

Wiki iliyopita nilinunua Vocha ya 5,000 Kwa gharama ya shilingi 5,500 hii inaonesha bei ya Vocha pia zikapanda Mwaka mpya wa fedha 2024/25 πŸ™Œ
 
Mkuu hilo ni jambo lisilowezekana.
Starlink itaua biashara nyingi za hawa wezi.
Issue hapa ni kulindana, wakubwa wengi wana hisa kubwa kwenye hizi Internet service provider companies.
Kwa kasi ya starlink na bei yake ilivyo chini itapelekea sells kwa hizi local companies kupoteza uelekeo.

Starkink inaweza connect devices 120 na speed ikawa stable.

Issue hapa si kuwatatulia wananchi matatizo issue hapa ni kulinda biashara za watu binafsi na vigogo.
 
Hayo mambo yanatugharimu kama Taifa, na Hawa Viongozi mbaya zaidi kwenye Mali na Madeni yao kupitia Viapo vyao kwenye time ya maadili ya Viongozi wa Umma huwa hawazitaji hizo Mali zao.

Ukishakuwa na Viongozi Wafanyabiashara hakuna unafuu unapatikana Kwa Wananchi, maana wao muda wote wanawaza kutuibia tu πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…