Duh video yangu imetrend sana, kidemu kilichochukua hii video nishakipiga chini!
Wajinga wajinga nawapotezeaπΆSipendi kusema naogopa lawama
Walimwengu nawajua
Japo yanauma mambo ya wanadam
Bora kuwapotea
Walivoniandama japo roho yaniuma
Lakin ninatulia
Sikuzoea kusema kubishana na nawanadama
Sijutii na sitajutia πΆ
Saint Anne
Binadamu ndo wamezoeaWajinga wajinga nawapotezea
Katu hawanipigishi kelele
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Ataecheka na mieSi kama siwezi kusema
Naweza mpaka kukesha
Naziepuka lawama
Nyingine zinakondeshaπ₯π₯π₯πππ
Mamaaa Leilaπ₯π₯π₯π₯
Niko live π₯π₯View attachment 2974940
Kiboko kabisaKuna wapiga vinanda wao
Halafu Kuna mpiga kinanda wanguπππππ₯π₯π₯π₯
Mpiga kinanda wake
Mzee Yusuf kakicharanga kinanda jamani chaaaπ₯π₯π₯
Hivi huo utulivu au upweke?π
Pambeeeeeππ₯π₯π₯Ataecheka na mie
Nami nitacheka
Asiesema na mie
Nitakaa mbali nae
Ugomvi siwez mie
Bora nimpotezeeeeee
π₯π₯π₯
Ni sehemu gani mna angaliaKiboko kabisa
Unasikia Isha mashauz huko jmn mbona Leo nyimbo nazozipenda nitalala kweliπππ
Ni balaaKiboko kabisa
Unasikia Isha mashauz huko jmn mbona Leo nyimbo nazozipenda nitalala kweliπππ
Sinema zetuNi sehemu gani mna angalia
Azam Tv,sinema zetuNi sehemu gani mna angalia
Nikaambiwa
Mi nitalala hapahapaKiboko kabisa
Unasikia Isha mashauz huko jmn mbona Leo nyimbo nazozipenda nitalala kweliπππ
πππMi nitalala hapahapa
Naamka huku nashtuka naendeleaπππππ