Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha mikwara mbuzi umeambiwa hata mje kundi zima hamuwezi kuharibu furaha ya shangazi..! We huogopi?
sasa nani anataka kuharibu furaha yakee?
Mbona anajistukia huyo shangazii akoo? Em atulizanee bhanaa
 
πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²Eeeh tena.
Pole ccy nitumie kule nione.
 
na mie naenda kumpeti petii Mr Albert tomba wangu.
Weuweeeeeeh
🀣🀣🀣🀣 Ila bibi jau sana!! Mr Albert tomba wangu kasafiri mwenzio, nimemmiss kweli😌😌
 
sasa nani anataka kuharibu furaha yakee?
Mbona anajistukia huyo shangazii akoo? Em atulizanee bhanaa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ furaha ya kufake mbaya sana!!
Shangazi sie hatuna time naye yy ale rungu la kipepe mpk achoke na ras zake km bob
 
furaha ya kufake mbaya sana!!
Shangazi sie hatuna time naye yy ale rungu la kipepe mpk achoke na ras zake km bob
anadhani kila mtu, yuko kufatilia ya watu yeyee? Atuliee na seleee wakeee.
Na sisi tuko na kina Albert tomba wetu, sasa yeye mahangaiko ya nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…