Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂Mim diet ccy 😂😂😔😂hapana.
Nilienda jim niliumwa niliumwa mwili unakua kama mdonda.
Nikasema hapana napoteza pesa tu.

Ngoja kesho nianze kukimbia mdogo mdogo kama Kaka Vince alivosema tuone itakuaje.

.
Wee damu changa nguvu za kukimbia bado unazo sis saa bi kizeee hapa kukimbia naanziia wapi mi🤠🤠😁! Fanya hivo utanouga hatariii na ulivo na mwili mzuri utauaaaaaaa😍😍😍😍!!
 
Wee damu changa nguvu za kukimbia bado unazo sis saa bi kizeee hapa kukimbia naanziia wapi mi🤠🤠😁! Fanya hivo utanouga hatariii na ulivo na mwili mzuri utauaaaaaaa😍😍😍😍!!
😂😂😂😂 Weeeeeh thubutu bibi kizee unamjua ccy.
Ungekua bibi kizee nyota ako ingeshalala siku mingi ccy😂😂😂
 
IMG_1162.jpeg
 
Weeeee nyota nitoe wapi sis fanya manuva mafusho niondoe hii nuksi dadako au sijui nikaogee maji ya bahari??? Hio bahari sasa nahuku mapirini Mungu wangu🤔🤔🤠!
😂😂😂😂MTU asokua na nyota ccy hasemwi.
We kaa huko huko maporini ilimradi unaingiza pesa kihalali, sio kwa kudanga ccy.
 
Ndama tena aseee!
Kila kitu kiko vyedi hukuu kuanzia kuku mboga za majani mahindi migomba n.k
hujaona huko kuna uzi wa ndama..? sahivi tunaitwa ndama sie jinsia tofauti na nyie kisa tunanyonyaga maziwa yenu!,nikiangalia hapo umeweka mtindi mzuri mzuri ndo maana nauliza ndama wako hajambo...??😅
 
Back
Top Bottom