Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee damu changa nguvu za kukimbia bado unazo sis saa bi kizeee hapa kukimbia naanziia wapi mi๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿ˜! Fanya hivo utanouga hatariii na ulivo na mwili mzuri utauaaaaaaa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!!
 
Wee damu changa nguvu za kukimbia bado unazo sis saa bi kizeee hapa kukimbia naanziia wapi mi๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿ˜! Fanya hivo utanouga hatariii na ulivo na mwili mzuri utauaaaaaaa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Weeeeeh thubutu bibi kizee unamjua ccy.
Ungekua bibi kizee nyota ako ingeshalala siku mingi ccy๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Weeeeeh thubutu bibi kizee unamjua ccy.
Ungekua bibi kizee nyota ako ingeshalala siku mingi ccy๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Weeeee nyota nitoe wapi sis fanya manuva mafusho niondoe hii nuksi dadako au sijui nikaogee maji ya bahari??? Hio bahari sasa nahuku maporini Mungu wangu๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค !
 
Weeeee nyota nitoe wapi sis fanya manuva mafusho niondoe hii nuksi dadako au sijui nikaogee maji ya bahari??? Hio bahari sasa nahuku mapirini Mungu wangu๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค !
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚MTU asokua na nyota ccy hasemwi.
We kaa huko huko maporini ilimradi unaingiza pesa kihalali, sio kwa kudanga ccy.
 
Ndama tena aseee!
Kila kitu kiko vyedi hukuu kuanzia kuku mboga za majani mahindi migomba n.k
hujaona huko kuna uzi wa ndama..? sahivi tunaitwa ndama sie jinsia tofauti na nyie kisa tunanyonyaga maziwa yenu!,nikiangalia hapo umeweka mtindi mzuri mzuri ndo maana nauliza ndama wako hajambo...??๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ