Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitatongozeaje nyumba za watu sasa? Una akili za ajabu kweli.

Niliyemnukuu na kuweka hiyo picha kaelewa na hakuna habari za kumtongoza mtu hapa.

Sina njaa na β€œmΔ…demu JF”.
kaelewa nini hebu toka huko wee mzee u.s.a baby hio nyumba yakwako au?🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
🎡Aahh Smartttttt
Mchu chu chu chu (hahaha)

Kebo nabiso elinge banda
(asiye bambi)
Aah! Kebo nabiso bayuma bakota kate
(isiba-koti)
Hah chaba pwe( ehe)
Chabapwe nakacha bilete
Soda(ehe)🎡[/|]




Mrare unono wapendwa wacha nikapumzishe fuvu langu πŸ’πŸ’ πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄
 
Ningekuwa na namba ya Saida Karoli ningeomba dictionary yake kwaajili ya huu wimbo

Isije kuwa mashairi yanasema Wazee tunaongezwa pension Jumatatu halafu hatujui πŸ˜…πŸ˜œ
 
Ningekuwa na namba ya Saida Karoli ningeomba dictionary yake kwaajili ya huu wimbo

Isije kuwa mashairi yanasema Wazee tunaongezwa pension Jumatatu halafu hatujui πŸ˜…πŸ˜œ

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Saida karoli wa jirani na uganda 🀣🀣🀣🀭

Unaniua mbavuuu hukuuuu babuuuu!
Wazee ni hazina ya kipekee sana muishi miaka maelfuuu babuuuu!

Mjukuu wako hapo nishalewa rubisi ya kwa kwakina Saidaaaa hata sielewi naimba nini walai😁
 
Ccy lugha gani hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…