Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mzee uzi ni wapicha au mawaidha ya dini?

Ndio maana mods huwa wanaishia kupiga pini nyuzi kwa sababu ya watu kuanzisha maudhui yanayoleta malumbano...

La hawla wala quwwata illa billah.
Nyie manaswara mnaamini mtaingia peponi kwa kumuamini nabii ISSAH

Wayahudi wanaamini wataingia peponi kwa kumuamini nabii MUSSA

Sie waislamu tunawaamini manabii hao wote na imani yetu kuingia peponi ni kumuamini mtume MUHAMMAD REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE.

Nyie mayahudi na wanaswara hamtoingia peponi kwa kutomuamini MTUME MUHAMMAD REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE.


Ngoja nipumzike Allah akijaaliya mapema niwahi Salat al-Jumu'ah.

Jumma Mubaraka , nakuombea dua uingie kwenye uislamu.
 
Mzee uzi ni wapicha au mawaidha ya dini?

Ndio maana mods huwa wanaishia kupiga pini nyuzi kwa sababu ya watu kuanzisha maudhui yanayoleta malumbano...
Tulia sindano ikuingie.
Screenshot_20240405-073333~2.png
 
Mungu akiwa upande wetu binadamu ninani hata apinge???🖤💚💛💪

Yanga daima mbelee 💚💚💚💛💛🖤

Kila la kheri Yangaaa 💚💚💛🖤

Enjoy your weekend na ushindi kabambe kutoka Yangaaa💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💚💛💚💚💚💚💚💚💚💚🖤
 
Mungu akiwa upande wetu binadamu ninani hata apinge???🖤💚💛💪

Yanga daima mbelee 💚💚💚💛💛🖤

Kila la kheri Yangaaa 💚💚💛🖤

Enjoy your weekend na ushindi kabambe kutoka Yangaaa💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💚💛💚💚💚💚💚💚💚💚🖤
Totooooo!!!
 
Back
Top Bottom