Gordon Novel
Senior Member
- Dec 21, 2011
- 143
- 241
Uje chap na mrembo mmoja mwambie gharama zote kwanguSiku moja moja nakaaga hapo nikipita pande hizo 😃
Uje chap na mrembo mmoja mwambie gharama zote kwanguSiku moja moja nakaaga hapo nikipita pande hizo 😃
Hahahahaaaaaa nitakuja na Miss Alpellah 😄Uje chap na mrembo mmoja mwambie gharama zote kwangu
Mzuri lkn?mwambie ajiandae aje chap ale maisha hadi asbhHahahahaaaaaa nitakuja na Miss Alpellah 😄
Miss Alpellah umesikia lkn 😄Mzuri lkn?mwambie ajiandae aje chap ale maisha hadi asbh
Kama mzuri anajiamini aje chapMiss Alpellah umesikia lkn 😄
Mtoto paja paja kweli🎵Mbinu zangu za kivitaaa
Ndo zimemfanya akadata namii
Anaitika sijamwitaaa
Nimemkamata kiganjaniiii
Tena bila ya kusitaaa
Nimemuanika barazaniii🎵🎵🎵🎵
Muwe na Usiku mwema wapendwa
Kamera tu mkuu kipaja changu kama cha njiwa!Mtoto paja paja kweli
Upo wapi nikutumie uber chap?Kamera tu mkuu kipaja changu kama cha njiwa!
Hapa kavu kavu ndyo unyama sasa🎵Mbinu zangu za kivitaaa
Ndo zimemfanya akadata namii
Anaitika sijamwitaaa
Nimemkamata kiganjaniiii
Tena bila ya kusitaaa
Nimemuanika barazaniii🎵🎵🎵🎵
Muwe na Usiku mwema wapendwa
Oyaa ehhh mali safi kbsa hii namba E mpya….
Pepo trokkkaaaaaaah 👈👈Hapa kavu kavu ndyo unyama sasa
Rock city kwa X wanguView attachment 2956285
Rock City
Njoo ule masatosangara.Rock city kwa X wangu
Nilifumaniwa rock city maeneo pasians sitak hata kupasikia rock city
😃😃Hahahahaaaaaa nitakuja na Miss Alpellah 😄
Gotcha 😄