msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,928
- 2,440
Iyo nyimbo naikubal kinoma Rip Big popa , ameflow umo kama hataki inaonekana ww ni mhenga.
Iyo nyimbo naikubal kinoma Rip Big popa , ameflow umo kama hataki inaonekana ww ni mhenga.
Oooh!!!
Huwa kuna wakati natamani nivae viatu Vya kiume mimi jamani![]()

Iyo nyimbo naikubal kinoma Rip Big popa , ameflow umo kama hataki inaonekana ww ni mhenga.

Mkwe ndio kusema![]()
Nimewamiss jamani
Huwa kuna wakati natamani nivae viatu Vya kiume mimi jamani![]()
Yupo singoNani anakuficha siku hizi

Hii itaenda juu kiasi gani?
Mama wenger mambo..
Niliuliza..Hivi kwanini Benki hakuna vyoo vya wateja?
Mhudumu wa benki akanijibu
umekuja kuweka hela au mavi"View attachment 1280175


🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀
Poa jiranii za ww,Christmas hyoo
Hahahahha umeona eheeeNakuja!
Tutakutana kwenye kula mbavu za mbuzi![]()
Kawaida yakeKwamva mmebishana weee ukachoka ukaamua ujipe kombe
We noma.



Nitake radhi






