Selfika na JF: Snap it. Show it

Jokofu linaota tumboni au sio
Hahaha......unakuta ghafla kafriji kameota πŸ™Œ

Kwa upande wa Mwanamke, unaweza kuwa na flat tummy kabla hujaolewa na kuzaa, ukishaolewa na kuzaa plus zile outings za kupelekwa kula Burger na Pizzas utajikuta automatic unaanza kunenepa πŸ€—

Ni Wanawake wachache sana walioolewa na wanatunzwa vyema na Waume zao na bado wakaendelea kuwa na flat tummy πŸ€—
 
Leo Wazee tuna kikao chetu Ukumbi wa DDC Mlimani park, nadhani vyema uhudhurie msikie utetezi wangu 😜

Mimi bado ni Mzee mwenzenu tena niliyekula chumvi nyingi πŸ€—
🀣🀣🀣zile picha zako za '71 zimefutwa rasmi, kikao cha leo kinakuvua uanachama na kutangaza kukurudisha ujanani!
 
🀣🀣🀣zile picha zako za '71 zimefutwa rasmi, kikao cha leo kinakuvua uanachama na kutangaza kukurudisha ujanani!
Wacha kunifanyia roho mbaya Mzee mwenzangu.....Unajua Uchaguzi unakaribia unataka nipoteze nafasi ya kukutana na Rais wakati akiongea na Watanzania kupitia sisi Wazee wa DSM?

Nataka kukumbushia na like ombi letu la kuongezwa Pension pamoja na matibabu bure Kwa Wazee πŸ€—
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hahahahaha..mimi mwakani nachukua fomu kata fulani hivi nautaka udiwani

Khs pension mzee mwenzetu usije kukabidhi kwa yule binti πŸ˜„πŸ˜„..maana nawajua nyie wazee wa kisasa vijana wa zamani
 
Leo Wazee tuna kikao chetu Ukumbi wa DDC Mlimani park, nadhani vyema uhudhurie msikie utetezi wangu 😜

Mimi bado ni Mzee mwenzenu tena niliyekula chumvi nyingi πŸ€—
Hahahahaha kikao saa ngapi mkuu ..halafu DDC ipi sasa..kuna kariakoo ,kuna Magomeni, kuna Keko na ile ya Mwenge ..kikao kiko DDC ipi mzee mwenzangu,namalizia misa nije
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…