Selfika na JF: Snap it. Show it

khaa yaani hayo majibu na hiyo avatar nimejikuta nacheka mara dufu,, wamejibu hivyo kwenye paper au??
Haya ni majibu ya wanangu...
1. Gawa mali
2. Acha wosia
3. Tumia pesa
4. Chimba kaburi
5. Utakata roho
6. Omba msamaha
7. Tubu dhambi
8. Utakiona cha moto
9. Lazima uage ndugu
10. Lazima uishi
11. Kula maisha

Nk nk nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…