Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
🤣🤣🤣Hadi niweke siri kuwa huwa nakuibia kwa handbag/wallet yako?
Kumbe ni wewe, ndio maana huwa nakuta zipo pungufu🤐
🤣🤣🤣Hadi niweke siri kuwa huwa nakuibia kwa handbag/wallet yako?
I'm strapped for cash,nifanyaje na wewe upo?na unapesa mingi.🤣🤣🤣
Kumbe ni wewe, ndio maana huwa nakuta zipo pungufu🤐
Wifi mi dollar nazitoa wapi niko vijijini huku napikia kuni mwili wote unanuka moshi 😂😂😂😂
Yes she is good aisee, sijui nisemajeAna sifa za uwife matirio hadi zimezidi
Hizi sifa tunazo wawili tu
Tofauti yetu Mimi sina tu hela.
Moja ya penzi nalolikubali ni hili lenu aisee![]()
Kumbe ni wewe, ndio maana huwa nakuta zipo pungufu![]()
🤣🤣🤣 kaka yako ndio aliniambia.Wifi mi dollar nazitoa wapi niko vijijini huku napikia kuni mwili wote unanuka moshi 😂😂😂😂
Au mmeamua kunitukana na kaka??
Anakujaza mi pesa nitoe wapi?? 😂😂😂Ana sifa za uwife matirio hadi zimezidi
Hizi sifa tunazo wawili tu
Tofauti yetu Mimi sina tu hela.
Kakudanganya wifi 😂😂😂🤣🤣🤣 kaka yako ndio aliniambia.
Kwahiyo kaka yako muongo jamani😒?
🤣🤣🤣Moja ya penzi nalolikubali ni hili lenu aisee
Mnakimbiza mwizi kimya kimya
Haiwezekani jamani😂😂😂Kakudanganya wifi 😂😂😂
Walikubeza sana mdogo wangu kuwa huna pesa, sasa umekamatia mgodi, waonyeshe jeuri.Tunashukuru sana wewe na mkeo Lamomy kwa ushauri wenu hadi tumeanza maisha. Tuko Chunya kwenye mradi wetu wa Resolute. Tutarudi hivi punde![]()
Kweli nimeona penzi limenoga, kwahiyo tayana kagoma kunisikiliza??Tunashukuru sana wewe na mkeo Lamomy kwa ushauri wenu hadi tumeanza maisha. Tuko Chunya kwenye mradi wetu wa Resolute. Tutarudi hivi punde😂😂
Changu ni chako, relax and enjoy to the fullest!I'm strapped for cash,nifanyaje na wewe upo?na unapesa mingi.
Oya jiraniChangu ni chako, relax and enjoy to the fullest!
Ila usiwe unaniibia😂
Eti chumba chake tumepangisha🤣🤣🤣🤣.Kweli nimeona penzi limenoga, kwahiyo tayana kagoma kunisikiliza??
Haya mwambie akazane ila chumba chake tumepangisha 😂😂😂😂
Huyo wifi sio mchoyo, wewe umemuwezesha mpk utake pesa?? 😂😂😂
Naamini matunzo mazuri pia unapata, huu mwaka unaogawanyika kwa mbili ndio wa kuchuma. Usisubiri 2025 itakula kwako
Amen shem!
Soon tunatufikia kama lenu hilo kila mmoja yupo kwaajili ya mwenzake.
Safi sana hiii! Hongereni sana!