Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ana sifa za uwife matirio hadi zimezidi

Hizi sifa tunazo wawili tu
Tofauti yetu Mimi sina tu hela.
Anakujaza mi pesa nitoe wapi?? 😂😂😂
Km huna pesa ukweni utateseka Anna, utaambiwa uoshe vyombo….
Lkn ukiwa na pesa ukishika sabuni tu mama mkwe anasema, “Acha mwanangu ataosha wifi yako hivyo vyombo kaa utulie, usije kurudi kwa mumeo umekonda” 😂😂😂
Hapo ushawafanyia shopping la kibabe na kibunda cha kulipia mkopo wake wa kikoba umempa….!!! Hapo hata akisikia mwanae ana mchepuko anakusaidia mkampe kichapo 😂😂😂😂
We wamama wa kitanzania kuwa na pesa na mfurahishe na pesa zako uone, kila akienda kanisani lazima akuweke kwenye maombi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom