Ila mi sielewi ugomvi kwnye app kama hii kwanini uanze watu mnavimba hadi na fake idβs dah
π
Binadamu ni binadamu tu hawezi kujificha wala kubadilika
ππππ
Kila mwanaume anaibiwa yeye
Afu wanaume wa JF waongo jaman
Wanasifia msambwanda afu wanaibiwa na tuwatu twembamba Lenie uliwezaje kumuiba babu
Nimeona yuko mjiniππππ
Ntaka npate hata tumilioni twa haraka