Selfika na JF: Snap it. Show it

Kantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yangu….
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovu….
Acha kunigombanisha na uduguu wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?
Maana mimi naweza dhani Lamomy ni mkorofi kumbe umechokozwa huko pm 🀨
 
Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?
Maana mimi naweza dhani Lamomy ni mkorofi kumbe umechokozwa huko pm 🀨
Akwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uduguu wala hajanikwaza kivileee mpk tufikie huko, ila akiendelea kuleta uchizi ndo nitampa za chembe
 
Akwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uduguu wala hajanikwaza kivileee mpk tufikie huko, ila akiendelea kuleta uchizi ndo nitampa za chembe
Kweli bana sio vyema tustiliane ikibidi hapo udugu nakupa pongezi πŸ‘πŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…