Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
Wana niita jobless pro max, kutoka milima ya u jobslesiniπUpo mkoa wa lindi π€£π wewe ni mmakonde au mmakua wa msumbiji
Hii imetoka moyoni[emoji23]Kantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yanguβ¦.
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovuβ¦.
Acha kunigombanisha na uduguu wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£ππππWana niita jobless pro max, kutoka milima ya u jobslesiniπ
Udugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?Kantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yanguβ¦.
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovuβ¦.
Acha kunigombanisha na uduguu wangu ππππ
Shem tuambie ukweli vinginevyo uzi uwe na amani yaishe ππHii imetoka moyoni[emoji23]
Basi ngoja nitulie
[emoji23][emoji23] mnajuana nyieBabu mmoja hivi alimtuma eti akiona comment yangu mshipa wa ngiri unamsimama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chondechonde niende piem nikampe hata hi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie uduguu ananipenda ananitafutia mpk madanga.!! Ushawahi kuona hiyo??
Kazi umemaliza uliyokua unaifanya?? Ukiongea hii issue tunagombana niko serious, wala sitaniiβ¦.Hii imetoka moyoni[emoji23]
Basi ngoja nitulie
We nawe hebu acha kumjaza πππShem tuambie ukweli vinginevyo uzi uwe na amani yaishe ππ
Endelea kufa na kinyongo ππWe nawe hebu acha kumjaza πππ
Bado ngoja niendelee kufanya[emoji23]Kazi umemaliza uliyokua unaifanya?? Ukiongea hii issue tunagombana niko serious, wala sitaniiβ¦.
Sikwambii kalale πππLamomy endelea kufa na tai shingoni ποΈββοΈ
I swear mi sio mmakonde Kakaππ, baadhi Wana jua Hadi kwangu kwa huku nilipoππ.Duh kumbe mie huwaga ananipanga yupo mwanza kumbe ni chinga wa kimakonde ππ€£πππ
Mmakonde kwa Mama na Baba hebu image mkuu atakuwa na ufupi wa kiwango gani na ubishi πππDuh kumbe mie huwaga ananipanga yupo mwanza kumbe ni chinga wa kimakonde ππ€£πππ
Akwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? ππππUdugu hebu acha shem atuambie ukweli maana humu kila leo ni ugomvi walimwengu tunataka kufahamu shida imeanzia wapi?
Maana mimi naweza dhani Lamomy ni mkorofi kumbe umechokozwa huko pm π€¨
Kwani ukisema ukweli utakufa πππI swear mi sio mmakonde Kakaππ, baadhi Wana jua Hadi kwangu kwa huku nilipoππ.
πMimi mrefu, med na mwembamba
Kweli bana sio vyema tustiliane ikibidi hapo udugu nakupa pongezi ππΏAkwambie yeye anajua tuliyoyaongea na udugu wangu?? ππππ
Uduguu wala hajanikwaza kivileee mpk tufikie huko, ila akiendelea kuleta uchizi ndo nitampa za chembe
Kafanye πππBado ngoja niendelee kufanya[emoji23]
Udugu wangu wala sina tatizo naye kabisaa..Kweli bana sio vyema tustiliane ikibidi hapo udugu nakupa pongezi ππΏ