Babu mmoja hivi alimtuma eti akiona comment yangu mshipa wa ngiri unamsimama ππππ
Chondechonde niende piem nikampe hata hi ππππ
Niende wapi ndugu yangu, mi hekaheka na vibabu wapi na wapi?? Nisije kuvisababishia heart attack bure mwenyewe najijua nna hekaheka km zote ππππ
Kwanza chalii wa chugga akijua cha kukatwa mitama ya nyonga nishindwe kutembea ya nini miyee π€£π€£π€£
Kantry najua umetulia unashusha essay yako, naomba acha kusema mambo yanguβ¦.
Nitayasimulia mwenyewe kwa muda ninaotaka, nakufahamu friji lako bovuβ¦.
Acha kunigombanisha na uduguu wangu