Selfika na JF: Snap it. Show it

Uduguu wangu nampenda sana alinitafutia hadi babu wa kutoka naye humu 🀣🀣🀣

Udugruuuu ana mambo, halafu yule babu wa kwake sasa sijui alitaka kugindua nini.??
Hapa naomba ufafanuzi ko mlikuwadiana πŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈ
 
Duh alikutafutia babu gan tena?
 
Hapa naomba ufafanuzi ko mlikuwadiana πŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈπŸ™†πŸΌβ€β™€οΈ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nuzu mimi nipo na uduguu wangu jamani, uduguu ananipenda ww mpk muda huu bado nashangaa kwann alinifanyia vile??
Anyway labda shetani alimpitia, mi bado nampenda
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nuzu mimi nipo na uduguu wangu jamani, uduguu ananipenda ww mpk muda huu bado nashangaa kwann alinifanyia vile??
Anyway labda shetani alimpitia, mi bado nampenda
Kwani ilikuwaje mpaka mkagombana na udugu wako,Watu wabaya sana mna wivu na penzi lao au kuna mengine😁😁
 
kwa hiyo rafiki yangu Antonnia alikua ananizunguka? Ni Babu gan?
Babu mmoja hivi alimtuma eti akiona comment yangu mshipa wa ngiri unamsimama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Chondechonde niende piem nikampe hata hi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nyie uduguu ananipenda ananitafutia mpk madanga.!! Ushawahi kuona hiyo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…