Niko na uduguu wangu, ujue kanimiss kipenzi chake lamama
Halafu mi nampenda sana, nishawahi kukuchenjia kwasababu yake unakumbuka??
Yani niliweka penzi langu rehani yote kumtetea uduguu wangu, bonge nyanya wangu mama Miongozo
Mi ndio rafiki yake wa kweli ambaye akizingua namchana live, siendi pm ya mtu kumteta namalizana naye hapa hapaβ¦.
Sema hapendi kuambiwa ukweli ndio shida yake