We selemani wee selee πππYaani humu mbona watu wengi wameachana na members wengi walifahamu ila amani imetawala why hawa wengine shida ni nini?Akili kichwani πππ
Nataka nikwambie ukweli mapenzi ya kweli hayatetekeshwi kwa Maneno ya waja yaani kama mliachana kwa Maneno ya humu wote hamkuwa tayari kuanza safari ya mahusiano.
Sasa tuonane wapi wakti mie nipo dar yeye huko mkoani .
Nimemaanisha hao watu wanaenda kuharibu couple wanasema huyo demu ni mhuni.
Kama mm niliambiwa nimetoka na wanaume wengi humu selfika .
Kwa hiyo lengo kuu ni kukuharibia .
Spanaaaa VARHakuna kitu kama hicho ukileta mahusiano kwa watu wengi kwanza hakikisheni mnapendana kweli na kwa dhati na hakuna kati yenu mwenye makando kando.
Sizijui mmSi wa njegeka zako zotee na PDF.
Kuna page kachana Tin ππππsasa wee DA tin, mwanaume yuko mkoa, wee uko mjini, unampajeza Jf, yaan alikufanyia nn kikubwa ukaona ulipe fadhira kwa kumpa Access ya kujua kila kitu kukuhusu?
Ngachokaaa mie,
uduguu humu ushindwe wewe
Bhana Cocasasa wee DA tin, mwanaume yuko mkoa, wee uko mjini, unampajeza Jf, yaan alikufanyia nn kikubwa ukaona ulipe fadhira kwa kumpa Access ya kujua kila kitu kukuhusu?
Ngachokaaa mie,
Teh tukutane kwingine; huu uzi wenu majengeka kila siku. Sitaki ban
Ogopa sana Mwanaume uliye mkwapua kwa mwenzio ukidhani atatulia tabia ni kama ngozi daima haivuki πππSpanaaaa VAR
πππππ Toleo jipya sio shida zako, unakunjwa na unakunjikamtaani wamejaa telee, Pa1 na kuwa toleo jipyaa, bado sikosi wa kunikunja 7, sasa maroboti ya JF mie ya nn??
Sio shida zangu kabisaaa.
Mbona wee ndo ulikua unananga na kuchamba wenzio,Nilichambwa huko hatari
Ukiona screenshot unasema hii
Wengine pia sijui ke , nishasahau nilivyoambiwa huko
Yaani humu wachawi kote koteWalikuchambaje mahi? π
Kwahiyo walikuwa wanamtaka huyo bwana??
Kwanini uliruhusu hayo? Humu mkiwa wapenzi na mnamaanisha wote fungeni pm zenu
Si useme na papa alikula kwani shida iko wapi Tin?? πππBhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..
ππππ
Na ujinga pia wa kuamini watu .
Eeh π π πMbona wee ndo ulikua unananga na kuchamba wenzio,
Sasa inakuajee tenaa? Mnatuchanganyaa ujue?
Yupiiii huyooo? rab au wa sate sauzand?I'd siitaki tu dear
Sina hata access nayo .
Kukiwa na maneno , upendo haipo
Shetwani aliingilia kati ..
He's a great guy haswa ....
Aisee jamani hajala jamaniSi useme na papa alikula kwani shida iko wapi Tin?? πππ
Eeh jamani nyie ππYupiiii huyooo? rab au wa sate sauzand?
Great guy haswaaa.
Lazima tuseme ukweli tumechoka na kelele zisizo isha humu