Eeh jamani nyie ππYupiiii huyooo? rab au wa sate sauzand? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Great guy haswaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kelele ni endelevu, hazina ukomo wa muda.Lazima tuseme ukweli tumechoka na kelele zisizo isha humu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chiziii wee.We selemani wee selee [emoji23][emoji23][emoji23]
Sele ana vikorombwezo vingi tatizo
Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano ππππYaani humu wachawi kote kote
Siikumbuki nishahau na kufuta
Ila vichambo haswa
Ila hao watu dah ππ
Yeah ni Bora mfunge wote na kukaza na hakuna kufungua hata iweje .
Muwe mnaongea kwa pamoja .
Uaminifu pia .
Muongo πππAisee jamani hajala jamani
Hata sijawahi mtia machoni
Basi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..Humu kuna wachawi, km huna roho ya paka unatema ndoano ππππ
Ila JF kuna mtu unamuona shosti huwezi amini anachat piem na mpz wako na wanakuteta kabisaaa!!!
Na mie ndo naitakaa hiyo page, sikubali hataKuna page kachana Tin [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£π€£ Sele wa moto, anapiga mitukunyema mpk vimbaumbau haachi kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chiziii wee.
Wee em sema jaman. [emoji23][emoji23][emoji23]Sizijui mm
Eeeeh jamaniMuongo πππ
Kaka alikula ndiomana wivu ulikuwa mkali
Lazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plzBhana Coca
Nilimpenda sana , na kumuamini sana ni hayo tu ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ujinga pia wa kuamini watu .
Humu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password πππBasi humu ndani Kuna kunafikiana sana ..
Urafiki wa mchongo , mahusiano ndo kabisa .
Yaani watu ni Wana wivu hatariiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema dyadyaaa semaaa.Ogopa sana Mwanaume uliye mkwapua kwa mwenzio ukidhani atatulia tabia ni kama ngozi daima haivuki [emoji16][emoji16][emoji16]
πππππ€£π€£π€£π€£ Sele wa moto, anapiga mitukunyema mpk vimbaumbau haachi kitu
Haswaaaaaa, tena mlainiiii, mlenda unasubirii.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Toleo jipya sio shida zako, unakunjwa na unakunjika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli asemee tyuuh.Si useme na papa alikula kwani shida iko wapi Tin?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hali ya kawaida asingepanic vile bana, hivi national na Rab nani kati yao ulimpenda sana??Eeeeh jamani
Hamuamini. Basi ila mm najua .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kusemana.comEeh [emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani unaonyeshwa sms unavyochambwa ila humu ni kusemana .com
Hivi humu mtu anapata wapi ujasiri kukwambia ana kupenda bila kusahau kukwambia uko peke yako ππππHumu hakuna urafiki kila siku mimi nasema, humu ni kwa kukaa kwa password πππ
Mi nna ushahidi kabisa bro mmoja kapiga mtu na shogaake na bi mkubwa hajui
Hehee πππLazima kina kitu kilikuvutia haswaa kwake, ndo ukampenda sanaaa, ni kipii hicho hebu tujuze plz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]