Halafu humu mbona watu wana achana na hawa nyooshewi vidole,mfano ni Niffer wala kwa amani sababu Mwanaume alikuwa mtulivu shida ukiwa na wake wenza wengi πππ
Mimi kwa Sasa naona binadamu hamna Cha upendo wala nn
Mtu anaweza kukugeuka kwa sekunde .
Maana akishaanza kupewa maneno na wanadamu ni ngumu kwa kweli .
Halafu humu mbona watu wana achana na hawa nyooshewi vidole,mfano ni Niffer wala kwa amani sababu Mwanaume alikuwa mtulivu shida ukiwa na wake wenza wengi
Mimi kwa Sasa naona binadamu hamna Cha upendo wala nn
Mtu anaweza kukugeuka kwa sekunde .
Maana akishaanza kupewa maneno na wanadamu ni ngumu kwa kweli .
Nataka nikwambie ukweli mapenzi ya kweli hayatetekeshwi kwa Maneno ya waja yaani kama mliachana kwa Maneno ya humu wote hamkuwa tayari kuanza safari ya mahusiano.