ππππ Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???Hahaaa Yani
Sasa wengine wamesingiziwa na jina langu ndo linahusika nikaona hapana Nije tu .
Yaani humu Jf ni zaidi ya kichaka kwa kweli .
Ni kuwa makini haswa lasivyo kinakuramba .
kweli hii huu uzi kila episode una star wakeIla selfikaa ya motooo, kila siku njegeka na wahusika wake wapyaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan inahama kutoka kwa huyu na kuhamia kwa yulee.
Woiiiiiiih.
Humu ukiona mwenzako ananyolewa hebu malizia π π π .Ila selfikaa ya motooo, kila siku njegeka na wahusika wake wapyaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan inahama kutoka kwa huyu na kuhamia kwa yulee.
Woiiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MORENA tenaaaa, mbonaa selfikaa ina maubuyuu mnoooKumbe alokuchafua ni Sungura
We si ndo yule ulikua unaenda MORENA
Basi nachanganya sjui na heavenly sentMorena ipi
Sijui hicho kitu .
Selfika ianze kulipiwa, ishakuwa kijiwe cha ubuyu ππππIla selfikaa ya motooo, kila siku njegeka na wahusika wake wapyaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan inahama kutoka kwa huyu na kuhamia kwa yulee.
Woiiiiiiih.
ππππ Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???
Mimi ndiomana sipendi kushinda pm za mitongozo na wanaume, hawachelewi kukuleta uaibikeβ¦
Bora kina uduguu wangu pm zao ni kusimanga wake wenza na kuteta wengine π€£π€£π€£π€£
Unaweza kuwapa wakajua, kumbe sio uhalisia.Na cha ajabu UTI inalala na kuamkia huko ilipoanzia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF niliisoma kabla ya kuanza hekaheka, humu ukitaka uonekane wa hovyo wape watu access ya kujua maisha yako umekwishaaa
Kwema sana Darlin.Salama tu rafiki
Ulihadimika sana humu ndani
Kwema huko lakini?
πππ Morena sio huyo, ni kina Anne na mama mchungaji ilisemekanaKumbe alokuchafua ni Sungura
We si ndo yule ulikua unaenda MORENA
Itakuwa yeye ehBasi nachanganya sjui na heavenly sent
Alipata wapi?? Akati wee ulimpa password yako ya JF, na had watu wengine walokua wanakujia PM, alikua anawajibu yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh hatari na Mungu aliniepusha na hizo pdf [emoji23][emoji23]
Nilipokuja kuingia ni ninakuta mods wamefuta sehemu kubwa .
Sijui mimi alipata wapi ..
Sasa wewe ID yako mbona jina jipya ila content unazo?πππ Morena sio huyo, ni kina Anne na mama mchungaji ilisemekana
ππππ Huyu Tin yy alikutana nao kabisa mcity ndo kilichomponza, hiyo ya kuwapa haina ukweli unaweza kuwadanganya km mimi wanavyoniuliza unakaa wapi nawaambia bonyokwa πππUnaweza kuwapa wakajua, kumbe sio uhalisia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shida km utawapaa afu ni kweliiii, hapo utajutraaaaaaaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbombo ngafuuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiii sanaaaa.kweli hii huu uzi kila episode una star wake
Nimechoka kuelezea, kesho nikumbushe ntakwambiaSasa wewe ID yako mbona jina jipya ila content unazo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???
Mimi ndiomana sipendi kushinda pm za mitongozo na wanaume, hawachelewi kukuleta uaibikeβ¦
Bora kina uduguu wangu pm zao ni kusimanga wake wenza na kuteta wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wengine hatuziwezi web,inaboaTumia website