Selfika na JF: Snap it. Show it

hahaaa
So you think nitakosa Raha kisa drama za Jf .
I'm not weak kihivyo
I'm enjoying life to the fullest kwa kudra za Mungu

Coca umejibu hivi
Do you hold a grudge or what ??
Wee DA tin mie nakupanikishaa unipee umbeaa tyuuh bas..
Yaan niwe na ubuyuu haujakamilika, nakua cna amani kabisaaa,


Mwagaaa ubuyuuu bhanaaaa.
 
Nyie mnaweza kuvumilia haya Mambo
Mimi ndo maana humu hapanifai ...

Yaani uongo hakuna kisses kwenye gari


Ila dah rabbitus ..
 
na UTI sugu.
 
Wee DA tin mie nakupanikishaa unipee umbeaa tyuuh bas..
Yaan niwe na ubuyuu haujakamilika, nakua cna amani kabisaaa,


Mwagaaa ubuyuuu bhanaaaa.
Sina ubuyu mie
Don't stress about it
Yaani ndo sitoingia tena humu maana hata nikija kusema hiki ni ninapoteza muda .
 
Wee ulikoseaa kumpa mtu access ya kuujua undani wakoo, had password ya JF, Khaaaaaah
Ulimeza mlulu wallah.
 
Ilitakiwa usiombe mtu msamaha..!!
Unaomba msamaha watu usiowajua??
JF haiko km ww unavyoichukulia, km mtu mmoja anaweza kumiliki id’s zaidi ya moja utamuomba msamaha utaweza???
Unaomba na hii anakuja kukusema tena na nyingine..
Ww ishi maisha yako, ishi km watu wasiojulikana..!
Max sio mjinga alivyoweka watu watumie fake id.. hii kutaka kujuana ndio mbaya
 
Nyie mnaweza kuvumilia haya Mambo
Mimi ndo maana humu hapanifai ...

Yaani uongo hakuna kisses kwenye gari


Ila dah rabbitus ..
sasa Rab yeye aliyapata wapiiii?
Maana zilishushwa PDF humu hatari mnooo.

Sasa ndo natakaa wee utuelezee kinaga ubagaa.
 
Sina ubuyu mie
Don't stress about it
Yaani ndo sitoingia tena humu maana hata nikija kusema hiki ni ninapoteza muda .
usikimbiee bhanaaa, wee huoni sisi tunanangwaa hapa, na bado tuko winja winjaaaa.

Afu hatukimbiiii I'd sasa.
 
na UTI sugu.
Na cha ajabu UTI inalala na kuamkia huko ilipoanzia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
JF niliisoma kabla ya kuanza hekaheka, humu ukitaka uonekane wa hovyo wape watu access ya kujua maisha yako umekwishaaa
 
sasa Rab yeye aliyapata wapiiii?
Maana zilishushwa PDF humu hatari mnooo.

Sasa ndo natakaa wee utuelezee kinaga ubagaa.
Duh hatari na Mungu aliniepusha na hizo pdf πŸ˜‚πŸ˜‚

Nilipokuja kuingia ni ninakuta mods wamefuta sehemu kubwa .

Sijui mimi alipata wapi ..
 
Hahaaa Yani
Sasa wengine wamesingiziwa na jina langu ndo linahusika nikaona hapana Nije tu .


Yaani humu Jf ni zaidi ya kichaka kwa kweli .

Ni kuwa makini haswa lasivyo kinakuramba .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???
Mimi ndiomana sipendi kushinda pm za mitongozo na wanaume, hawachelewi kukuleta uaibike…
Bora kina uduguu wangu pm zao ni kusimanga wake wenza na kuteta wengine 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…