Selfika na JF: Snap it. Show it

😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka
 
Ooh safi sana

Wazee tuwaheshimu tu inatosha ..
Vijana japo wasumbufu tuwavumilie tu ..
😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa 😂😂😂😂
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi
 
Mpe heshima yake Charles kilian ana ududu mwingi sana pale Mererani hyo nakuibia tu siri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kitu, nimechekaa had baas.
Udugu huwa naringa huko mtaani, hapa JF niwaringie maroboti na vibabu miga? Wee kuwezaaa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu atambeee na chakeee, wee ukipewa hiki, mwenzio anapewa kilee, tatizo watu wivuuu tyuuh.
 
Treeeeenaah 👌
Kila mmoja akae kwenye nafasi yake 😂😂😂
Udugu shuka chini kuna jambo 😭😭😭
 
Hizi ids mpya siziamini kabisa sijui kwanini!!

Kama ni wewe tins uwe na amani tu mamy karibu sana tuendelee kuselfika!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kweli mtoto mkaree..
Ww rangi huioni hiyo..!!
Vipi kaka mshipa wa ngiri haujashtuka??
Mtoto ana viwango vya kimataifa huyo ooh!!
Sio ile mi kina Asha jibwa ya vingunguti [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu kwann lakiniii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanakiss kwa satee sauzand? Wallah nirudi kwa mganga, mbona mie nakiss kwa harufu ya perfume tyuuh. Woiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…