Selfika na JF: Snap it. Show it

Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .

 
Coca njoo shemeji anakukana hadharani leo 😂😂😂😂😂
Uduguu umepewa talaka wahi uje unisaidie kulia 😭😭😭😭😭😭

Ila watu mapashkuna khaaa!! Kwahiyo mnaenda pm kumsema mtu utafikiri mnamjua au huyo coca mnamjua??
Kweli JF watu wanayaweza sio kidogo 😂😂😂
Shem ungewaambia “ndio na ww njoo nikukaze” ili watumie muda wao vzr humu JF shubhamiti hao 😂😂😂
 
Sijamuona, mzuri kweli? Mkaree kweli?
Warumi......
 
Hehee makubwa hao vijana waongeze dau wafike hata 50K
Wawazidi wazee (jokes)

Ila jeifu lol humu ndani ni 🔥

Mimi sio muongeaji dear hapa yenyewe macho yanauma usingizi .

Vitu vingine nishasahau ili kujiponya nafsi .
Oyoooooooo!! Vijana kuna ujumbe wenu hapa 😂😂😂😂
Ila vibabu vina sifa yani kiss vinatoa sate whooooufff 😂😂😂
Vijana ongezeni kasi vibabu vinashambulia sana karibu na goli lenu
 
Siweziiiiiiii shindana na people venye wako mwisho wa reli 🤣🤣
😂😂😂 Vijana huyu beki kawauza inaonekana kakata tamaa, vibabu vinaendelea kujiokotea point za buree na mabinti wamegoma kupewa afu tatu…. Namuona kijana kaachia goli babu afunge goaaaaaaalllll

Vibabu 2-Vijana 0
Haya mpira unaendelea Half american anatoa pasi ya 5k naona babu Grahams anaizuia kwa 20k fasta…. Namna gani paleeeee 😂😂😂😂
 
😄😄Wazee wa humu kumbe wanatoa 30k? Na wadada wanaona market value yao ndo hyo🤣🤣ngastuka
 
Ooh safi sana

Wazee tuwaheshimu tu inatosha ..
Vijana japo wasumbufu tuwavumilie tu ..
😂😂😂😂 Vijana wanazidi kuelemewa pambano bado ni kali sana….
Binti kaamua kuwapa ushindi vibabu, haya namuona huyu kijana shabiki wa Fally Ipupa Charles kilian anamwaga kwacha za Zambia km 200 hunded sawa na elfu 20 na kitu hivi ya kitanzania….. anataka kuokoa goli upande wa vijana….. hebu subiri tuone km atafanikiwa 😂😂😂😂
Mechi bado inaendelea ila vijana wako hoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…