Selfika na JF: Snap it. Show it

😍😍😍😍😍 uko msupuuuu mahi
Kamwanya sasa 😍😍
Nyie jf kuna visu no filter, no black and white
Kitu og kabisaaaa awwww πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
Acha kumpanga mwenzio ana sura ya Babu yake Mzee Mwakatobe wa Ubaruku. Ebu weka basi na yako tuone Komwe na sura ya mjomba wako wa kisukumaπŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†
 
Lamomy uduguuu uko wapiiii nna jamboo nataka nikupeee, cna kifua hicho cha kuhifadhiiii.
Hebu fanyaa ukujee hukuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mdau wa kitambaa cheaper acha maneno, weka picha yako tuone komwe.
 
Usijali ccy lazima nikubless
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuita uje tuuchachuee uzi tyuuh.
 
Weeee!! Kumbe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo shemeji yangu kwa coca bana
Sema huyo kaka ako katuudhi, kuna vyombo vyetu vilinunuliwa havijafika kwa bi mkubwa coca [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kesho naweka mafuta kirikuu tunavifata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado kirikuu hujapataa?
 
We mdau wa kitambaa cheaper acha maneno, weka picha yako tuone komwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu bado hujasemaa.
Hapo penyewe na sijawahi hata kanyaga, napaonaga tyuuh.
Nweiii linakuja chimbo jipyaa.
 
Oyoooooooo.!!! Wifi la dunia 😍😍😍😍
Huna baya na mtoto nikizaa wa kike nampa jina la aunt yake Mammy K πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtoto aitwe Mwanamkasi Kantrii 🀣🀣🀣 aka Mami K.....upoo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…