πππ Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nacheka leo kutwa nzima, natamani kujua nilinangwaa kwa kipii, afu yule dada huwezi amini, tulikua pisi sanaa.
Kuna siku alikuja had chuo ili anione sema nikamkwepa ki aina, hata yaliyo semwa juu yake sikuamini, siku amekuja hapa Jf Kuomba msamaha, wallah nilistaajabu unajua hafananiii kabisaa,
Yaan alikua very innocent, najionagaa mie ndo waru waru, kumbe bora mie aseeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwa nn leo umenileta huku jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeambiwa nisikupe pesa mpk ukamilishe mahari, wakinga hawataki Marioo kwenye ukoo wao
Oyoooooooo!! Kantry umesikia??? ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.
Wachagaa watulizaneee kwan, watemee pesa hizo
πππSijui kwa nn leo umenileta huku jf[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee harusiii tunayooo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coca niwaacheeee puliiiiiizzzzz
Nimecheka mpk machozi..!! Eti niniiiiii?!!!!
Hawanaa nafasiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marioo hatuwataki kabeesaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππ Hebu niimbie kwanza wimbo wa Mbosso kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km kawaaaa, wapambe nuksi tunakua winja winjaaa kushadadiia mtifuanoooo.
Huyo kumpa pesa ni sawa na kuchota maji kwenye pipa na kumwaga baharini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.
Wachagaa watulizaneee kwan, watemee pesa hizo
πππππ Ariririiiiiiiiiiiiiiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee harusiii tunayooo.
Uchumba suguuu mwsho FB na insta,
JF tunataka ndoaaa, harusiiii ipooooo.
ππππ na hatuwatakiiiiiiiHawanaa nafasiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nakuja darslum kuna harusi nini?πππππ Atatoa bana wifi yangu ana mihela mumewe mfanyabiashara mkubwa.!!
Hapo kwa mshamba ndo hamna kitu π€£π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!!
Angekuleta wima wima nakwambia na ungenangwa zaidi ya ulivyonangwa.!![emoji23][emoji23][emoji23]
Humu ni kuishi bila kujuana wakeshe wanahangaika kukutafuta, hii kujuana imeleta shida sanaaa.!! Mtu anakuchambua km ana kadi lako la clinic dadeq..!!
Hawa watu wanaojifanya wapole humu ni waongo sijapata kuona, kwanza wana idβs zao za kuchamba tofauti na walizozoeleka.!!
Wanapenda kuonekana wastaarabu kumbe wapuuzi afu tunawachora, tunawacheka hihiiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππππ Umeanza kutafuta uteteziHuyo kumpa pesa ni sawa na kuchota maji kwenye pipa na kumwaga baharini
Namaanisha
ππππ Msaidie kaka ako mahari kakimbianakuja darslum kuna harusi nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem nimechekaaa, sahivi nimeamua kutulia, ila wakati ulee, nlkua navurugana na watu, bas ntatumia pc, ntaona nachelewa kutype nahamia kwa cm had inapata motooo, narud kwa Pc .Ww jf yote tulikushindwa hadi mm mbishi nilinyoosha mikono, huyo mmoja hataweza[emoji23]
Acha basi[emoji23]Oyoooooooo!! Kantry umesikia??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya mkanywe mbege, huku ulikoingia siko
ππππ Angepewa million angesema ww sio mtu ni robot kabeesaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sate sauzand inafanya mtu ajiachie kunanga mwenzieee.
Woiiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mtu mwenyewe hayupoo hapaa,Hebu anzisha, au huwezi mikwara tu
Unanijua lakini huwa friji halifanyi nn vile?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeanza kutafuta utetezi
Iggweeeeeeee!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] seat yako ipo reserved tayari