Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Feb 14, 2024 #375,921 Grahams said: Sio mbali sana kutokea Mikumi.... Ukipata nafasi tembelea huko ukanunue mashamba ulime miwa, maana kama bei ya Sukari inafika 5,000/Kg ina maana lazima miwa itakuwa deal Siku za usoni Click to expand... Babu ni sehemu gani kuna mashamba bei nafuu na ardhi yake inakubali mazao aina mbalimbali😁😁
Grahams said: Sio mbali sana kutokea Mikumi.... Ukipata nafasi tembelea huko ukanunue mashamba ulime miwa, maana kama bei ya Sukari inafika 5,000/Kg ina maana lazima miwa itakuwa deal Siku za usoni Click to expand... Babu ni sehemu gani kuna mashamba bei nafuu na ardhi yake inakubali mazao aina mbalimbali😁😁
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Feb 14, 2024 #375,922 raraa reree said: Screen saver kabisa hii 🔥🔥🔥🔥🔥 Click to expand... 😂😂😂🌸🌸 nature is beautful.
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,985 Reaction score 189,557 Feb 14, 2024 #375,923
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,092 Feb 14, 2024 #375,924 Depal said: 😂😂😂🌸🌸 nature is beautful. View attachment 2903827 Click to expand... Ni sehemu gani hii inafaa kwa matumizi ya macho.
Depal said: 😂😂😂🌸🌸 nature is beautful. View attachment 2903827 Click to expand... Ni sehemu gani hii inafaa kwa matumizi ya macho.
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 28,877 Reaction score 37,676 Feb 14, 2024 #375,925 Mahondaw said: Ndiwooooo msiniangusheee! Tena mpite nakeddddd kabesaaa nimemiss kuwaona visuraaa! Click to expand... 🤣🤣🤣😘
Mahondaw said: Ndiwooooo msiniangusheee! Tena mpite nakeddddd kabesaaa nimemiss kuwaona visuraaa! Click to expand... 🤣🤣🤣😘
Leejay49 JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 19,299 Reaction score 60,931 Feb 14, 2024 #375,926 raraa reree said: Leejay49 Click to expand... Weka nikuone bebe la beibe
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 28,877 Reaction score 37,676 Feb 14, 2024 #375,927 Rabbitus said: Uko double maana Yesu unae moyoni. Click to expand... Amen
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Feb 14, 2024 #375,928 Nuzulati said: Babu ni sehemu gani kuna mashamba bei nafuu na ardhi yake inakubali mazao aina mbalimbali😁😁 Click to expand... Ardhi nyingi zinakubali mazao ya aina mbalimbali, changamoto ni hali ya hewa ya hayo maeneo. Mathalani, Mkoa wa Morogoro unakubali mazao aina nyingi ni wewe kuchagua lipi lina faa Kwa wakati huo Kwa kuangalia hali ya Soko. Kama unataka kulima angalia mazao ya biashara. Iwe Ufuta, Miwa, Karanga, Mpunga, Choroko n.k Mikoa ya Morogoro, Rukwa, Katavi, Ruvuma, Mbeya inasapoti mazao tofauti kulingana na hali ya hewa nzuri. Fanya utafiti Kwa kutembelea huko. Ukiwatumia wenyeji una uhakika wa kupata ardhi Kwa bei nafuu zaidi.
Nuzulati said: Babu ni sehemu gani kuna mashamba bei nafuu na ardhi yake inakubali mazao aina mbalimbali😁😁 Click to expand... Ardhi nyingi zinakubali mazao ya aina mbalimbali, changamoto ni hali ya hewa ya hayo maeneo. Mathalani, Mkoa wa Morogoro unakubali mazao aina nyingi ni wewe kuchagua lipi lina faa Kwa wakati huo Kwa kuangalia hali ya Soko. Kama unataka kulima angalia mazao ya biashara. Iwe Ufuta, Miwa, Karanga, Mpunga, Choroko n.k Mikoa ya Morogoro, Rukwa, Katavi, Ruvuma, Mbeya inasapoti mazao tofauti kulingana na hali ya hewa nzuri. Fanya utafiti Kwa kutembelea huko. Ukiwatumia wenyeji una uhakika wa kupata ardhi Kwa bei nafuu zaidi.
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,707 Feb 14, 2024 #375,929 Tresor Mandala said: Oooh nishapajua Click to expand... Yeah ni huko Mkuu
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Feb 14, 2024 #375,930 Nuzulati said: Ni sehemu gani hii inafaa kwa matumizi ya macho. Click to expand... Arusha, Meru
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Feb 14, 2024 #375,931 Grahams said: Yeah ni huko Mkuu Click to expand... Sawa sawa
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,422 Reaction score 27,308 Feb 14, 2024 #375,932 Depal said: Hahaaa huyo huyo Click to expand... Nipo Mkuu😃nimekuwa mtoro humu ndani siku hizi
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,422 Reaction score 27,308 Feb 14, 2024 #375,933 Charles kilian said: Jana tulikuwa wote tunabeba maboxi huku kwa waitaliano 😂😁🤣🤣 Click to expand... Braza kaka 🤣🤣🤣🤣🤝
Charles kilian said: Jana tulikuwa wote tunabeba maboxi huku kwa waitaliano 😂😁🤣🤣 Click to expand... Braza kaka 🤣🤣🤣🤣🤝
Selikavu JF-Expert Member Joined Jul 14, 2017 Posts 12,422 Reaction score 27,308 Feb 14, 2024 #375,934 Depal said: Hahaaa kila la kheri kwenu 🥂 Click to expand... 🥂Uwe na siku njema Mkuu
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Feb 14, 2024 #375,935 Selikavu said: 🥂Uwe na siku njema Mkuu Click to expand... Na kwako pia cop 😂
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Feb 14, 2024 #375,936 Calling it a day! Enjoy your valentine guys ✌️✌️✌️✌️✌️✌️ cc Smart911
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 Feb 14, 2024 #375,937 mshamba_hachekwi said: we chalii miyeyusho laana Click to expand... Chalii 😅
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 Feb 14, 2024 #375,938 mshamba_hachekwi said: we chalii miyeyusho laana Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 14, 2024 #375,939 Rabbitus said: We si unashindia keki na chai hutaki matunda wala mboga za majani😀 Click to expand... Mboga za majani nakula kila siku ngun'yani
Rabbitus said: We si unashindia keki na chai hutaki matunda wala mboga za majani😀 Click to expand... Mboga za majani nakula kila siku ngun'yani
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 14, 2024 #375,940 Karibuni Attachments IMG_20240214_164001_444.jpg 2.1 MB · Views: 54