Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha Dar πŸ”₯wire ilifanya nikapata demu perfect vision.
 
Nimeona hiyo lacoste...
Nikakumbuka dada mmoja alipelekwa kuosha macho bungani, sasa akawa anaona wenzake wanaongea kizungu nae akatamani asionekane hajui. Akakumbuka kuna nguo aliona ina label imeandikwa lacoste na picha ya mamba🀣

Akasema kwa nguvu mbele ya watu, "baby look this pool is full of lacoste " πŸ˜ƒ
 
πŸ˜‚πŸ˜πŸ€£πŸ€£
 
Reactions: 511

Hahahaha....
 
Hahah ulikuwa unatafuta nini huko Tina 😁?
SI unajua zamani zile ,kufahamiana kiasi
(Though sijawahi jutia kwakweli kufahamiana na watu kitambo kile)
.....nilishangaa mtu anani txt wasap,kajitambulisha!

Akasema Wana group la watu wa hapa,wanasaidiana,etc

Nikasema no !
 
Mwomumo Nkamu πŸ˜‚

Nkamu nipo naishushia na soda hiyo pichaπŸ˜‚πŸ˜‚
Nikimaliza soda,nakupokonya kahawa ile umeshika kwa kikombe.

Mimi bwana lugha yenu hii siijui sana inanipa shida,,, ingekuwa ya kwangu hapa ningetiririka sana.


Hahah nasoma ninaelewa, lakini siwezi andika misamiati migimu hivyo khaaa!

Aseee une nka kalumyana, ndi mnyambala nkamu...

Akapikya hako usishie kulila na kasokera, kakupeghe nu busingizi n'yafu...
 

Attachments

  • IMG_20240210_201844_052.jpg
    660.2 KB · Views: 6
Throwback 2019
Kweli tumetoka mbali 🀠

Mrare unono wapendwaaa πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄

Msisahau Story fupi fupi picha kwawingi

cc Smart911
 

Attachments

  • Screenshot_20220314-132711~2.jpg
    96 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…