ππππ koh koh koh
Inshort kulikuwa na vurugu za masuria ya Bwana Miongozo na wadada wa sate sauzand na mambo ya wajuba kuibiana wachuchu na kutoleana siri za mcityβ¦!!!
Mara ww umemchukua yule wa kwangu kwann??
Na wengine kujipa maujiko ya kuvua magagulo ya wadada kumbe ni kutaka kujibrand you know π
Maneno ishirini bado.?? ππππ
All in all tulia soon utajionea wadada wakianza kudolishiana mishape na mishimo ya mashavuni ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ