National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
Sasa mtaalamu Countrywide anasema mie nimeponda madada wa humu jf.. na wewe .. niambie nani na nani nili diss.. π π π .. Mbona kuna michezo ya kitoto sana humu ya kugombanisha.. nani niliongea nae habari zako humu.. mtaje nae tumvute hapaSikia mkuu kila siku mm nahusishwa na mambo ambayo siyajui mwazo wala kichwa mwazo nilikausha maisha yaendelee nikaonekana bwege mjing leo kibao kimenigeukia mimi sawa
Mwazo niliambiwa wewe unasema mm nishawai kukuambia kuwa natoka na huyo dem tena yeye ndio ananipenda na kunihonga juu nikakausha sikutaka kumtafuta mtu si kwamba nilikuwa sina uwezo wa kumtafuta mtu na kumuuliza nilikausha kimya nikawa peac nikafanya kama hakuna kilichotokea mimi sina story na wewe kuhusu madem wa humu nilipo omba ushahid wa izo sms kuwa najitapa mimi natoka na huyo dem ziko wapi sikupewa mpaka leo
Haya naomba na izo text nilizosema hapa hayo mnayo nishtumu
Mie taarifa zote ninazo, nacheka nao naishi nao na napotezea ... maana napenda amani kuliko kitu chochote....wapuuze Linda furaha yako....mtu snitch huwezi mbadilisha....ni asili ipo kwenye damu... achana nao....natambua nayavumilia maana haohao wanaweza kuwa msaada kwangu...nafumba macho maisha yanaendelea ππππPoa nimekuelewa ngoja nitulie. But wanachofanya hawa wanaume wenzetu huwa inasikitisha sana, wewe mwenyewe picha yako iliwekwa kati ukapondwa mnoo. Ukiwa hapa hadharani unasifiwa
Huu unafki aisee nimeukubali
Umesoma melezo ya Mwachiluwi lakini mzee baba.. Tuwe wakiume.. hizi sarakasi tuachane nazo..Basi sawa, wamechonga chats wakusingizie bro.
Bro attention seeker uta wawezaπ€£ππ€Funguka mzee.. kila kitu kiwe wazi...
Namsubiri Mwachiluwi hapaaa.. aje atoe maelezo.. vizuri.... nime mdiss mwanamke gani wa JF humu.. na ili iweje, zaidi ya kunipa namba za mademu tu huko ambao hata siku anagika nao.. na hiyo tulichata nae hata public... aje awataje hapa ambao nime wa diss..
Mkuu humu tupo watu wa aina tofauti, wenye tabia na malezi tofauti hivyo tuchukuliane kama tulivyo. Hata mitaani kuna wanaume wambea pia ni jinsi tuu ya kujua unaishije nao, humu JF wengi tunainteract sana ila hatujuani basi tabia zao ( umbea) sizikupe shida awe wa kike au wa kiume.Mm nilikua namjibu mtu mwingine, hujaona kavamia na kuanza kuleta ujinga?
Wakipiga umbea ni sawa? Kumbuka hawa ni wanaume
Namsikilizia Mwachiluwi aje aseme nani na nani li mdisiiii ... kumbe kuna mambo yanaendelea huko back stage π πBro attention seeker uta wawezaπ€£ππ€
Country jaribu kuwa mstaarabu kidogo kma umesikia kitu kuhusu mtu kuliko kukileta hadhari thibitisha kwaza unaposema sisi wambea sawa mm nimekubali mkuwa mbeya je wewe iko unachokifanya ni nini? Kuanza kutafuta habari za wanaume wenzio?[emoji23][emoji23][emoji23] sawa bro yaishe, wala tusifike mbali sana. Lakini ukweli unaujua
HahahahahaHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Sawa kabisaHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Mkuu wafungulieni vifungo baadhi ya watu hawakuwa na nia mbaya.Habari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Kwa hiyo uzi umezinduliwa upya?Sawa kabisa
Dah kwahiyo mwanangu umeamua kuwasamehe au sio mkubwa wa kazi ?Habari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Umefunguliwa.Kwa hiyo uzi umezinduliwa upya?
Kama uzi umefunguliwa basi wafungulieni na wafungwa wa uziHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Kweli safari ya Arusha imerudi na mema πHabari,
JamiiForums inawakumbusha kusoma na kuelewa vyema Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Niwatakie mjadala mwema.
Hivi uliwahi ku selfikaUmefunguliwa.
Kuelekea V DayAloooo!
Wenye nchi wametoa msamaha ππ
Ime wabadilishaKweli safari ya Arusha imerudi na mema π