YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Zingine nilifuta 😔😔😔. Hizo ungeona Ungezimia leo usingelala.Leo umejua kuni surprise
Sema nini we endelea kunipa pdf nienjoy
Niko nanjilinjii mkuu 😁😂Kwanza Njoo loliondo mnadani kibaha kesho nikukandamize na mbuzi beberu mmoja.
All this excitement jukwaani for nothing???Haiwezekani!!!🥴Duuh hadi ww 🤣🤣🤣. Mi situmii chochote pm mummy mi pm yangu yenyewe imefungwa na funguo zimepotea chooni 😔.
Hamna kitu chochote bana 🤭
uskute ni wewe unawindwa😂Na me nasubiri nione![]()
Zingine nilifuta. Hizo ungeona Ungezimia leo usingelala.
Sema basi tu vingine acha vinipite tu![]()




irizi ndo niniUnaeza kubeba hirizi, yenye ukubwa was mkoba😁😂😂
Utakisoma mwenyewe!!!!Soon naandika kitabu😁😂, siku 120 za mateso ya tumbo😁😂
View attachment 2728896
udugu na ndugu yako mnanichekesha sana



kwann uduguuu? Ndo itabidi uzoeemechi gani🤣Kabla ya mechi 😆😆
View attachment 2728910
kwann uduguuu? Ndo itabidi uzoee




Tuna wanachama zaidi ya m40, wazalendo wa chama Cha wageni😁Utakisoma mwenyewe!!!!