Kwanza nani anashida sana nahizo mboroou sasa??? Nina uhakika kila mmoja humu anamiliki yake what's the heck with hizi drama zote Antonnia Antonnia Antonnia!!
Mambo ni mengii sana yanii weee pitia post za nyuma usichoke utaelewa vizuri kwa kuanzia anzia hapa !! Hii ni post kutoka kwa National Anthem!! Akiniongelea mimi!!
Hizo habari ulizosema majuzi za mimi kutembea na Graha humu je ni Kwamba unanipenda umeamua kunizushia tu ili unichafue humu au shida ninini hasa??? Mbona tulikua vizuri humu nini kilichokusibu mpaka kunikalia kooni hivi???
Ndio uone watu walivo wanaa humu skendozzz zoooote wamemuona babu tu????
Halafu Bora mtu anaecheka na kufanya mambo hadharani tena kwa sauti kila mtu anaona na kusikia kuliko hao wanaojifanya humu watakatifuuu wakimyaaa wamevaaa ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu !! Ma silent killers wabaya sana uduguuu