Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090
Image una chomwa sindano tano halafu hamna ndoa😁😁Sio uongo ni kweliii!!
Image una chomwa sindano tano halafu hamna ndoa😁😁Sio uongo ni kweliii!!
Simchukii mtu jf🤣😂, watu Wana jus nilivyo humble🤗.Yaani vile unamchukia best yangu kuna mawili ama kakunyima au kakupiga kibuti 😁😁😁
Na hata zile siisiii mie ndie niliezistopishaaa katuuu sijawahi gombaniaa mwanaume mimiiii niliwaachia vizuri tyuuuu bwanaenuuu mwenyewe kutwaaa kunisumbua sijui mlikua hammnogeshiii??? Mlikwama wapi kwanii vigoriiii wabichi wachanga watekeee wazuriiii mpaka bwana kunisumbua eksi???? Au ndio wanawake wa kaska hamjuagi Mapenzi mnachojua ubabe tu??? Nini was mbayaaa???
Tennaaa nyiee kumaaaa mnaosambaza eti niliachawaaa mpoooo???? I was the one nilieacha na kukataaa tagss katu siwezi endekeza ujingaaa yani mwanaume atupange wazi afu nimchekeee heeeeehhh!!
Huyo sio Antonnia aseee najiamini katu siyumbishwii na sitetemekei mboroooo hata mwanaume awe milioneaaaaa vipii sipendi usengeeee!!
cha ukorofi twende masjid.. kwanza.. 😬😬😬Image watu wanatuma nyuchi kwa mtu wasio mjua jamanii Wanawake tufanye kazi kuepusha kujidhalilisha kingese 😬😬
Poa , za leoTinsley niaje
Sawa najua wewe ni mtu poa hebu niambie hii chuki kwako inatokana na nini hasa🤷🏼♀️😁😁😁Simchukii mtu jf🤣😂, watu Wana jus nilivyo humble🤗.
👉Ndani na nje ya jf, Wanao nijua personal Wana nielewa.😂😁
Kweli aisee jamani baadaecha ukorofi twende masjid.. kwanza.. 😬😬😬
Mkuu natania waja wasije nipopoa na mawe![]()
freshi tu, karibu tenaPoa , za leo
My sister si una semaga uko over 30🤔, why u act kama mtoto.Na hata zile siisiii mie ndie niliezistopishaaa katuuu sijawahi gombaniaa mwanaume mimiiii niliwaachia vizuri tyuuuu bwanaenuuu mwenyewe kutwaaa kunisumbua sijui mlikua hammnogeshiii??? Mlikwama wapi kwanii vigoriiii wabichi wachanga watekeee wazuriiii mpaka bwana kunisumbua eksi???? Au ndio wanawake wa kaska hamjuagi Mapenzi mnachojua ubabe tu??? Nini was mbayaaa???
Tennaaa nyiee kumaaaa mnaosambaza eti niliachwaaa mpoooo???? I was the one nilieacha na kukataaa tagss katu siwezi endekeza ujingaaa yani mwanaume atupange wazi afu nimchekeee heeeeeeeellll NO!!
Huyo sio Antonnia aseee najiamini katu siyumbishwii na sitetemekei mboroooo hata mwanaume awe milioneaaaaa vipii sipendi usengeeee👌👌👌!!
haraka harakaaa.. chap chapa.. 😅😅😅😅.. tuwahi masjid.. hapa hapafaiKweli aisee jamani baadae
Unaishia kudumaa tu mtu mzima umekomaa unaonekana katoto mxxxxxxxxwww!!Image una chomwa sindano tano halafu hamna ndoa😁😁
Tunataniana hakuna cha ugomviKumbe selfika mna mambo nyie duhh mm nilidhani ni jukwaa la upendo kutoa Stress kumbe ni jukwaaa la kikahaba sasa
YESU RUDI
Thank you ..freshi tu, karibu tena
Chuki gani Tena🤔😁, tuanzie hapo😁Sawa najua wewe ni mtu poa hebu niambie hii chuki kwako inatokana na nini hasa🤷🏼♀️😁😁😁
Changamka uwe expert member Basi😁🤗Thank you ..
🙏
Tunataniana hakuna cha ugomvi
Usihofu Yuko mikono salamaTayana-wog
mwanafunzi huyo nimekupatia
😅😅Kumbeee 🤔🤔Kuna na team?Ila wadada baadhi wa Humu, mna chekesha Sana.
👉Mna act ni marafiki, ila still mna snitch ana.
👉Mme tengeneza team za kutusiana dah🤒.
👉Uki uliza kisa🤒, utabaki una jichekea 😁😂😂