Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,000
- 95,481
Hivi nani Yule😁😂Uliandika miss tinsley umemissika
Jamaa ndo akajibu kuwa ujiheshimu
Hivi nani Yule😁😂Uliandika miss tinsley umemissika
Jamaa ndo akajibu kuwa ujiheshimu
wapi mwanangu sana uwe unanipa connection za mashangaziWw Mimi ni babu yako niamkie![]()
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa....!! Yanu wanawake sisi kwa sisi hatupendaniii Ndiomana ni Bora niwe na marafiki wa kiume tu nao ukicheka nao mkafurahii unaambiwa wamekulaaaa hahaaaa!!
Mdada yuko radhi akukandieeeee akuongeleeeee vibayaa ilimradi tu anamtaka au anamtamani huyo mwanaume!! Mwingine anakukasirikia kabisa kisa tu ukaribu na mkaka fulani humu yanii ! Mwingine hadi anataka kumpangia huyo mwanaume usiongeee au kuwa karibu na Antonnia humu nyieee!!!
Mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzieee!! Kila mmoja ashinde mechi zakee wanawake wenzangu Wanaume wenyewe hawaaa akishakukojolea tu![]()



Shosty naomba code ....Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa....!! Yanu wanawake sisi kwa sisi hatupendaniii Ndiomana ni Bora niwe na marafiki wa kiume tu nao ukicheka nao mkafurahii unaambiwa wamekulaaaa hahaaaa!!
Mdada yuko radhi akukandieeeee akuongeleeeee vibayaa ilimradi tu anamtaka au anamtamani huyo mwanaume!! Mwingine anakukasirikia kabisa kisa tu ukaribu na mkaka fulani humu yanii ! Mwingine hadi anataka kumpangia huyo mwanaume usiongeee au kuwa karibu na Antonnia humu nyieee!!!
Mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzieee!! Kila mmoja ashinde mechi zakee wanawake wenzangu Wanaume wenyewe hawaaa akishakukojolea tu![]()
Nimefanyaje jmn🤷We Tayana-wog una ona Sasa😂😂🤣
wapi mwanangu sana uwe unanipa connection za mashangazi






Baadhi tu.....Kumbe selfika mna mambo nyie duhh mm nilidhani ni jukwaa la upendo kutoa Stress kumbe ni jukwaaa la kikahaba sasa
YESU RUDI
Baadhi tu.....
SawasawaKumbe kwahyo kwenye msafara wa mamba na kenge hawakosi
I'm watching u, closer.....Nipo nakula kiporo nitarudi😁🤒
Akya nani ,sina hamu kabisaHivi nani Yule😁😂
Acha tu shost humu usimuamini mtu siri ni ya mtu mmoja shougaaangu. utakaangwaaa bila hata kosaaa!! Unamuamini mtu unamsimulia vizuri mambo yakoo haaaaa!! Anavoenda kukusagia kunguni hutaamini 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!Shosty naomba code ....
Yes yesAkya nani ,sina hamu kabisa
Wazungu wanasema fight your fears , nashukuru nimeweza kiasi
Humu ndani kuna bullies , ukikutana naye ndo utaelewa .
Yanii kila nachofanya humu wanampelekeaa naee anayaleta kama yalivoio🤠🤠🤠🤠😂!! Nacheka kama mazuri vilee nyieeee!!Wapotezee tu ,achana nao
Km wangekuwa wanajiamini wasingekuwa wanakufuatilia
Well saidAcha tu shost humu usimuamini mtu siri ni ya mtu mmoja shougaaangu. utakaangwaaa bila hata kosaaa!! Unamuamini mtu unamsimulia vizuri haaaaa!!🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
😍😍Yes yes
I second u....
WizooooPole
Umefiwa na nani?
Bwana na awape faraja
Acha tu shost humu usimuamini mtu siri ni ya mtu mmoja shougaaangu. utakaangwaaa bila hata kosaaa!! Unamuamini mtu unamsimulia vizuri mambo yakoo haaaaa!! Anavoenda kukusagia kunguni hutaamini!!
USI nambiee😁😂, Nime fanyaje Tena😁😂I'm watching u, closer.....