Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha tu shost humu usimuamini mtu siri ni ya mtu mmoja shougaaangu. utakaangwaaa bila hata kosaaa!! Unamuamini mtu unamsimulia vizuri mambo yakoo haaaaa!! Anavoenda kukusagia kunguni hutaamini [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!

Hata mimi hamniamini jaman

YESU RUDI
 
Kila wanapogonga wanakula zausooo wanajipeleka kwingine zausoooo wanaishia kujadili kotas tyuuu yote hii ni Tanzania mbwa nyieee kuna shule zipo vijijiniii hakuna hata nyumba nzuri za maana kupanga nyumba zilizopo za udongooo tuu na wenzio uliowakuta wanakaa humohumo wewe so ni lazima ukubaliane na mazingira bado watoto sana mkikua mtaelewaaa maisha yalivooo mikkunduuu yenuuu wotreeee;!!

Haya pamoja nahizo kotaz mbona 🤳 zangu zinazidi zenu???? Mtakufa na vijiba vyarohooo wauza kei wakubwaa nyieeeee!!
 
Back
Top Bottom