Selfika na JF: Snap it. Show it


Wale tuliokuwa nao miaka ile ya 1967 watakuwa wanakumbuka mtindo huu wa mavazi ukiitwa kwa jina maarufu la Chai Maharage🤪

Kweli tumekula chumvi nyingi 🤗
 
Babu mwenzio niko katoro huku hata daslama sijui inafananiaje ndo nitaweza kukuvusha barabara kweli??

Labda nikuitie cocastic na Antonnia wao ndo wanakaa town babu yangu
Kwa kweli, bora waje wanisaidie Babu yao kuvuka barabara

Maana kwa Uzee huu hata kuona magari wakati wa kuvuka inakuwa shida 🤪
 
Babu mwenzio niko katoro huku hata daslama sijui inafananiaje ndo nitaweza kukuvusha barabara kweli??

Labda nikuitie cocastic na Antonnia wao ndo wanakaa town babu yangu
Niko Linguse nguse huku, hata barabara hatuijui, tunatumia njia ya vichochoro ilojaa umande tupu.

Town wapiii nakokujua mie? Songea town enyewe had nikiumwa ndo niende pale mkoani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…