Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,069
- 95,683
I mean no malice to nobodyAcha umbea![]()
I mean no malice to nobodyAcha umbea![]()
Iddi ile ya ramadhani ya juzi kati hapaLimeisha ila wewe nakuuzia kuanzia laki nyingine ya muuzaji![]()
Dah meza lazima ipindukee, sema we utakuja kuomba mbususu vitani😂😅😅😅😅 umenikumbusha mbali .. siku hiyo nipo ofisini kwa mkuu wa shule enzi hizo Kinondoni Muslim.. tumeongea badae nikapewa pindi la Physics, mie akili yangu ilikuwa inawaza mbali tu.. huku nachapa pindi.. uhuni huuu.. tungefungwaa wengine aisee.. vitoto vya Zanaki kule kimoja sasa hivi kimekuwa ki mwanasheria maarufu.. Umenikumbusha mapambano ya maisha
Oya masikhara pembeni😅😅😅 Mungu atuokoe tu.. huwa niki kumbuka fantasy zake najikuta moyo unataka tena na tenaa.. kuna ka moja kama somalia kalipiga body to body moja matata alafu akaniweka kwenye 18... ya amount flani ya hela nikaona hapa napigwaa.live ,🤣🤣🤣🤣 tulijikuta asubuhi hii pamekuchaaa .. Sema hihi karibuni nakuachia viatu vyako.. vikubwa sana
shida wewe una view ma video ya 5k🤣😂😂, kwani sehemu ya data saver huja Iona🤣😂😅😅😅 siku hizi mie mwenyewe nanyoosha mikono.. siku kama nne.. nilikuwa natumia 5G.. dah! bubdle kama mtu ana mwaga maji aisee.. niliomba poo mwenyewe
hata hawajariii. Na habari hawana.




kikubwa nilale usingizi mzuri kukimbia bila utaratibu sitaki!! 







😅😅😅😅😅 nisingeweza kuwa mwanajeshi mie .. nisingeshindwa toa siri zenu kisa utraamu... Si kipindi tunamaliza chuo tulikuwa tunachukuliwa sana.. siku hiyo kila kitu nimeweka sawa nikaishi getini nikarudi huyo home..Dah meza lazima ipindukee, sema we utakuja kuomba mbususu vitani😂
Unanitisha
Habari ndo nakupa sasa,![]()



sio vizuriSisi hatumwiti mtu tuje tufamfanyie kitu sisi tuna appear nakumpa vidonge vyake cc National Anthem
😅😅😅 hela niliyo acha pale unajenga mjengo chumba na sebule.. alafu nili muwini vipi. nilikuwa nakaa pale Blue bird.. wakati mwingine nilikuwa namuita tunakaa room tunapiga story sanaa , alafu namuachia hela bila kumkaza.. akanipenda sana akawa ana share na mie hadi mambo yake ya ndani kabisa... so mie pale home hata nikienda sina mie nakula mkopoOya masikhara pembeni
Bi mdada anajua sort pisi za maana!!
taratibu wee mama sinyarii, mama PM anatumia OG, sio yako ya hongkong.




Weee zombiiii ( in Dabiliu sibii voisi )Unanitisha
Umeme Hamna Giza nikifumba macho naona maluweluwe 😂😂
Ndio kwanza mwingine anakata gogo
Mie hekaheka sitaki km bandari wachukue tyuu!! Hata wakimpa Nchi Kantri sawakikubwa nilale usingizi mzuri kukimbia bila utaratibu sitaki!!
Tumekimbia sana toka primary, huku ujanani ndo usiseme tunakimbizwa na babu migambuti mpk jf hapaaanaaa watuache
Wanaoandamana waende tutawaletea chai MOI wakivunjwa miguu![]()





babuu uko nae winja winja, na humuachiiii.Weka basi maokoto ya leo![]()




Mbna hatariiii mama sinyariiiHongkong?? Yangu ya Guangzhou ya bei cheee![]()





data saver haina raha 😅😅 napenda picha quality ya juu kabisaa sipendi chenga chengashida wewe una view ma video ya 5k🤣😂😂, kwani sehemu ya data saver huja Iona🤣😂