Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Limeisha ila wewe nakuuzia kuanzia laki nyingine ya muuzaji
Iddi ile ya ramadhani ya juzi kati hapa

Nilimuagiza dogo ndo akamchukulia Kama matatu nadhani mmoja 28_32k sijui ndio ya aina gani hayo mnajua wauzaji.

Hahaha unavyoijua hela sasa
Una kitu utafika mbali
 
Screenshot_20230822-231550.png

Aaliyyah nakufikia hivi punde
 
😅😅😅😅 umenikumbusha mbali .. siku hiyo nipo ofisini kwa mkuu wa shule enzi hizo Kinondoni Muslim.. tumeongea badae nikapewa pindi la Physics, mie akili yangu ilikuwa inawaza mbali tu.. huku nachapa pindi.. uhuni huuu.. tungefungwaa wengine aisee.. vitoto vya Zanaki kule kimoja sasa hivi kimekuwa ki mwanasheria maarufu.. Umenikumbusha mapambano ya maisha
Dah meza lazima ipindukee, sema we utakuja kuomba mbususu vitani😂
 
😅😅😅 Mungu atuokoe tu.. huwa niki kumbuka fantasy zake najikuta moyo unataka tena na tenaa.. kuna ka moja kama somalia kalipiga body to body moja matata alafu akaniweka kwenye 18... ya amount flani ya hela nikaona hapa napigwaa.live ,🤣🤣🤣🤣 tulijikuta asubuhi hii pamekuchaaa .. Sema hihi karibuni nakuachia viatu vyako.. vikubwa sana
Oya masikhara pembeni

Bi mdada anajua sort pisi za maana!!
 
hata hawajariii. Na habari hawana.

Ndio kwanza mwingine anakata gogo
Mie hekaheka sitaki km bandari wachukue tyuu!! Hata wakimpa Nchi Kantri sawa kikubwa nilale usingizi mzuri kukimbia bila utaratibu sitaki!!

Tumekimbia sana toka primary, huku ujanani ndo usiseme tunakimbizwa na babu migambuti mpk jf hapaaanaaa watuache

Wanaoandamana waende tutawaletea chai MOI wakivunjwa miguu
 
Dah meza lazima ipindukee, sema we utakuja kuomba mbususu vitani😂
😅😅😅😅😅 nisingeweza kuwa mwanajeshi mie .. nisingeshindwa toa siri zenu kisa utraamu... Si kipindi tunamaliza chuo tulikuwa tunachukuliwa sana.. siku hiyo kila kitu nimeweka sawa nikaishi getini nikarudi huyo home..
 
Oya masikhara pembeni

Bi mdada anajua sort pisi za maana!!
😅😅😅 hela niliyo acha pale unajenga mjengo chumba na sebule.. alafu nili muwini vipi. nilikuwa nakaa pale Blue bird.. wakati mwingine nilikuwa namuita tunakaa room tunapiga story sanaa , alafu namuachia hela bila kumkaza.. akanipenda sana akawa ana share na mie hadi mambo yake ya ndani kabisa... so mie pale home hata nikienda sina mie nakula mkopo
 
Ndio kwanza mwingine anakata gogo
Mie hekaheka sitaki km bandari wachukue tyuu!! Hata wakimpa Nchi Kantri sawa kikubwa nilale usingizi mzuri kukimbia bila utaratibu sitaki!!

Tumekimbia sana toka primary, huku ujanani ndo usiseme tunakimbizwa na babu migambuti mpk jf hapaaanaaa watuache

Wanaoandamana waende tutawaletea chai MOI wakivunjwa miguu
babuu uko nae winja winja, na humuachiiii.
 
Back
Top Bottom