Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan bas ukikaa vibayaa jinsi anavyokupa intro, unaweza sema nshatusua vile.

Mie nilikua namchora tyuuh, hata wazo sikua nalo.
Uduguuu taratibu nawee.
 
Mapdf ya mchongo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€nishahama huko mbona sikunying
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sawa nitakupata tu.... kamuulize .... mtu flani hakuamini nilianza muambia hadi kwao wapo wangapi.. na ABC.. unachezea kibuyu .. Kuna mahala ningekutajia ila basi eeeh.. au niseme wana JF waje kula ubeche
 
Heee

Akiyanani
Bora sikuona

Ningepigwa


Nikawaza kidney si figo
Ni I'd gani?nikawa sipati jibu
Yeye target yake n wanaume tyuuh, na amewaliza kwa kweliii.

kuna jamaa alitaka kumvua 300k, ila aliambulia 60k, woiiiiiih
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sawa nitakupata tu.... kamuulize .... mtu flani hakuamini nilianza muambia hadi kwao wapo wangapi.. na ABC.. unachezea kibuyu .. Kuna mahala ningekutajia ila basi eeeh.. au niseme wana JF waje kula ubeche
Ninmpango niwaalike Dec mje mle mpunga nione puazenu na rangi zenu za chorokoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Sijalima mpunga
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… utaenda kutununulia itakuwaje wageni waje alafu walale njaaa... ila siku ile kwanini hukuniambia nipo.... tule hata soda hadi asubuhiii.. nitakutumia picha uone kama ni wewe au sioo.. uone nguvu ya mafile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…