Selfika na JF: Snap it. Show it

We tamba tu, ila nikikasirika nawaambia wezi wenzako tuje kuyaiba hayo magariπŸ˜πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘‰ kina mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, chambo wa chama Cha wezi Analyse, miyeyusho stow away, mpiga chaboo Poor Brain.
 
Una ogopa mi na mwizi mwenzagu National Anthem tuta kuja kukuibiaπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Sera zetu πŸ‘‰ panga mkononi
πŸ‘‰Roho beganiπŸ˜πŸ˜‚
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kwani Aaliyyah sipajui huko jirani .. au nianze kukutajia maeneo sasa.. mie mitaa yangu hiyoo... tukukaribishe wewe tu
 
Kabisa


Nitajie tu Coca jamani
Nisipitwe na mimi
Si ndo huyo figo76
Wee hujui alikua anapora watu pesa PM, akijifanya mwanamke kumbe Dume.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawaliza wengi mbna, ulipitwa wapi mbna alishtukiwa akaandikiwa uzi.
 
Niliko mambo sio magumu kwenye kilimo
Shamba ekar had laki hats elf 80 unapata
Trekta kulim ekar 1 ni elf 40,sheli ni elf 20
Vibarua kulimia ekari 25 au unaalika watu wanalima
Mtaji sio shida sana
Shida so Gharama nafuu, shida uhakika wa Mvua ya kutosha upo??
πŸ‘‰Inaeza ika nyesha mwanzoni, Baadae ika kata- halafu mazao yaka kaukaπŸ€£πŸ˜‚
 
Una ogopa mi na mwizi mwenzagu National Anthem tuta kuja kukuibiaπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Sera zetu πŸ‘‰ panga mkononi
πŸ‘‰Roho beganiπŸ˜πŸ˜‚
Haha kulima kazi πŸ˜„πŸ˜„jamani
Mwaka jana nilijaribu alizet zikaota mapema zingine zikachelewa nilichanyikiwa balaa πŸ˜„πŸ˜„nikarudia kupanda πŸ˜€πŸ˜€kumbe zilichelewa tu nilijicheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…