Selfika na JF: Snap it. Show it

Jf ina watu achaaa kabisa ila kuna siku nitailetea uzi hii story ya member wa jf bila kumtaja, watu wajifunze na wacheke mana lazima nimsimulie alivyo km mzungu wa kigamboni
uduguuu hebu weka huo uzi leo, unataka nikaukee koo kwa kuuhamu huo ubuyuuu??
 
shem hebu sema kweli,
 
kaswende na kisonono sijaonaa mbna.
Sijapentaaaaa
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Mambo haya nimewaachia, kuna wapuuzi wengi humu wasio weza ku reason. Ukija mahakani nakutupa dk ya 0.. nina screenshot za kutosha ( folder zima ). Ukicheza na fisi unaonekana na wewe fisi ujue
Mjomba achana nao code zishafunguka mchawi kashajulikana tunacheka nae tu hapahapa anatuchora tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tunza folder hizo nywea maji maisha yaendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…