Selfika na JF: Snap it. Show it

aisee,
 
Serious jf inataka kufanywa kua Kama Badoo. Ukiona I'd yakike akili inaruka na kuwaza mtongozo.

Na wakike akiona I'd ya kiume akili inaruka inahamia kwenye udangaji.

Full kuwindana

Ss hivi wajumbe wamesema wanaacha kila mtu yuko busy kutafuta pesa

SI ETI WAJUMBE?? Mbona kimya au tyr washazama Badoo kubaduana??

Mimi najua kila mmoja leo kashajua nini kipo nyuma ya yote haya na tutajirekebisha
 
Rika la Tanu Tena?

Sisi si ndio mnasema tunajua kulea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…