Selfika na JF: Snap it. Show it

Jiraniiii...
Pole jirani.
 

Me nataka kumlipua mtu tulia, afu usipanic bana mbona kawaida kwani wanakutoa roho?? Afu hayo mambo yenu mbona hayaishagi emu Penseli aje jamani

Kukazwa kwa mwanamke kawaida anayeumia apeleke wa kwake Mxxiewwww
 
Saint Anne come this way unaitwaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค !! Kumbee nawewe mnaa au nimesoma vibaya???๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿค ๐Ÿค !!
 
Saint Anne come this way unaitwaaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!! Kumbee nawewe mnaa au nimesoma vibaya???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1783][emoji1783]!!
Heee
Mimi tena?

Wapi tena huko nimetajwa!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahhaha weka hapa tuone wote tafadhali. Maana kila mtu ana play victim humu ndani๐Ÿ˜‚
nibembelezeni niweke ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ msipo nibembeleza basi nabaki nayoo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. mie naweka mzigo kama ulivyo mwingine ananimbia natunga how ? huo.mkeka uwasaidie usikae unacheka na mtu hapa badae anaenda kukuanzishia mikasa
 
Hhahahahah boss, weka tafadhali watu watoe yao ya moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ