National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
wachawi watatoka wenyewe π π π π umeona reaction zao .. Mie nifanye kwanza kama nimemaliza walio soma cuba washa elewa..Ukikaa kimya halitaisha Bora mchaw aletwe live yataisha had kufikia saambili kikao kitakuwa kineisha bila hivo haya maigizo hayaishi karibia wiki mada ni hizi uzuri wahusika tupo hapahapa
Nachokishangaa ni wewe kupata taarifa. Kaka ulifatwa Pm au? π€£π€£π€£
Shangazi yake na penseli inawezakana vipi ukose data.?
kunguru tena π π π π mbona unanichanga na mie tenasija elewa pale ulipo sema, anaye mfuga kunguru ni Naniπ€π
Haya kaka, malizana huko uje umalizie kunyeshea mvua, maana joto limezidi kweli.Ufupi ipo ; Jana nilijisikia vibaya humu.. wengine tulizoea hapa tuna kuja enjoy na kutoa stress.. ila kila ukiingia watu wanavurugana.. Mie kwa moyo mweupe nikasema hapa tusake wanachonganisha watu.. na kuzushiana mambo ha hovyo kama mlivyo ona .. Katika hayo hakuna hata moja nimetunga nachukua mzigo mzima mzima nashushaaa... Kama kuzushiwa nimezushiwa na watu ambao sijawa hata waona kama mama mchungaji au kadogo kangu ka Saint Anne .. kitu ambacho sio.. sasa huyu tahira anakuja na brabra na mawigi yake π π π π .. achukue furushi lake la Penseli 4.. PDF itayokuja kali sana.. ngoja kwanza nionane na wana hapa ... alafu mie sitishwi sijawai kaa PM na kusengenya mtu..
Kama ni kuni, basi kuzichochea unaweza.Mtumishi mwenzetu Lenie
Eti una njaa ya mahusiano
Na soko hakuna
Dah
Nyie
Yaani heri wangewasema micharuko wakorofi..
Ila eti hadi Lenie
Ooh.........hadi yale tena, Sijapenda kwa kweli
Bado pdf 1 la mwisho Mjomba natak nikocomfirm na majibu yaonekane japo had Sasa nimebakiza 40% mm si nimesoma Cuba πππwachawi watatoka wenyewe π π π π umeona reaction zao .. Mie nifanye kwanza kama nimemaliza walio soma cuba washa elewa..
Tutaweka wapi Sura zetu, nyote mnajua ukiwa Mzee wa Umri wangu, vitu vinarudi ndani kama vya mtoto wa darasa la 1AWinja winja kiba shwaaa hadharani πππ
ππππNgoma plus plus zitakutanaπ
tahira hilo dada. Muokoeni mie sitishwi na mawigi.. hapa narudia nae muogopa Depal mgonjwa wa figo π π π wengine wote ... alafu au basiUkisikia yalaaaaaaaaπ€£
Nimekosa zote hapaπππMkeka huo..
Hii PDF ni ndeeefu
Hakikisha unaisoma vizuri
Selfika snap it..... show it......
I am so happy today nnimekua maarufu jfπππππππ
Khaaaaa mbona we huogopiππ
Una utani wewe
Mimi za kwangu zilipita nililala kwani ameniacha bas Yani shwaaa hajali hata shangazi zake
Mtafanya tuwapigie watu wa Breweries msiuziwe Vinywaji leo hadi Mwakani π€ͺBabu lipo lingine nalo age yenu lina pdf lake ngoja tulewe turuke vzr watu wajiheshimu
ππ
Huyo mwanamke mwenzenu aache uchawi banaa.. Mie humu sina site na mambo za watu.. Nashusha mkeka sawa sawa na informer wanavyonipansiongezi hata nukta.. πHaya kaka, malizana huko uje umalizie kunyeshea mvua, maana joto limezidi kweli.
ππππI am so happy today nnimekua maarufu jfπππ
mkeka wa mwisho nataka ulinzi kama Mjep π π π π π .. bila ulinzi itakuwa ni patashika hapaBado pdf 1 la mwisho Mjomba natak nikocomfirm na majibu yaonekane japo had Sasa nimebakiza 40% mm si nimesoma Cuba πππ
Sema jf InachekeshaKama ni kuni, basi kuzichochea unaweza.
Jiraniiii...Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee π€ π€ ππ na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???