Hawa Vijana wanataka niwape razi, yaani hawana adabu kabisa๐๐๐
Huijaiona tu boss lady pitia mkeka umeshapands hapo juu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐๐! Nasubiria list yakoor vouchaaa ๐๐๐๐๐!!
Hii ndio Kali kuliko kumbe hata Tz Haupo ila nyie watu Wana dhambi ๐๐๐Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!๐ฎโ๐จ
Wasamehe tu babuHawa Vijana wanataka niwape razi, yaani hawana adabu kabisa
๐๐๐Mji mzito huu
mbona unaniingiza mimi wakati sipo
Naona Vijana wanaleta hadithi za abunuasi, hayo mambo Wazee hatuna kabisa.Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???
Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!๐๐๐๐๐!!
Hapa uwa naingia kurefresh tu nimeshaita "babe" watu kibao hapa na wala hatujuani๐Hii ndio Kali kuliko kumbe hata Tz Haupo ila nyie watu Wana dhambi ๐๐๐
Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐๐๐๐๐!Wote tunajua sisi Wazee Jogoo huwika kwa mwaka mara moja tu, sasa hao mabinti mnataka tuwe nao kwa kazi gani?
Mabinti na vigori ni kwaajili ya Vijana tu,
Huo ni mtazamo wetu Sisi Wazee
Mmmh mbona kama kuna ukweli๐๐๐๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธTena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???
Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!๐๐๐๐๐!!
Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!โ
HIi kali nimepita hadi na wewe na hujui
Kwakweli hilo pdf abaki nalo tu
Doh kama kwa bluetooth sawa๐
Bluetooth is ready to pair, connected successfully.
Shwaaaaaa mnamalizana
Mafile yanatoka taratibu kabisaaa๐๐Mmmh mbona kama kuna ukweli๐๐๐๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ
Shoga angu leo toa yote ya moyoni maana wamezidi kukuonea๐๐Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐๐๐๐๐!
Alooooooohh ๐๐๐๐๐๐๐๐!! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!
Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
! Nasubiria list yakoor vouchaaa!!
sio kweliUpo wewe mlete Penseli lazima atamtaja waliokua wanachat naye tu
Hiii ni serious issue hawa watu hawana kazi za kufanya๐Hapa najiuliza tulipitiana wapi?? Sema me hawanidumbui nishajua ni vikundi vya wapumbavu wachache waliokosa kazi za kufanya, wameshiba wanawaza ngono tyuuu